Ahsante sana mkuu, imekua msaada mkubwa. Je unaweza nisaidia kunipa maelekezo wapi nitanunua mashine nzuri na size gani ndio nzuri? (biashara yangu itakua bagamoyo kijijini-walengwa ni wateja watu wa kawaida kabisa)Msaada: Faida na hasara za biashara ya mashine ya kusaga/kukoboa mahindi
Habari za sasa, Kwa wataalam wa hii biashara nataka niingie hii biashara. Nipeni dondoo.www.jamiiforums.com
Soma hiyo thread
Ukipata bei na sisi tutafaidikia humoAhsante sana mkuu, imekua msaada mkubwa. Je unaweza nisaidia kunipa maelekezo wapi nitanunua mashine nzuri na size gani ndio nzuri? (biashara yangu itakua bagamoyo kijijini-walengwa ni wateja watu wa kawaida kabisa)
Kuna umeme hapo kijijini?Ahsante sana mkuu, imekua msaada mkubwa. Je unaweza nisaidia kunipa maelekezo wapi nitanunua mashine nzuri na size gani ndio nzuri? (biashara yangu itakua bagamoyo kijijini-walengwa ni wateja watu wa kawaida kabisa)
Nahukuru san mkuu. Umeme upo kijijini, kwahiyo nitanunua ya umeme. Na kwa ya umeme nichukua ya size/power kiasi gani?Kuna umeme hapo kijijini?
Kama upo nunua mashine ya umeme.
Kama hakuna nunua ya Diesel lakini izidi horse power 16. (i.e. above 16HP) ianzie 20HP.
Mengine utashauriwa hapo duka nililo kushauri Metro.
Ukinunua mashine usitengeze rail ya mounting kwa fundi wa hapo hapo dukani.
Najua bei yake nzuri ila akikosea kitu itakugharimu pesa nyingi kufanya marekebisho ya hayo machuma.
Kama una uwezo na uhakika kwamba wateja ni wengi basi anza kwa kununua Mota ya Horsepower 25-30, itafaaNahukuru san mkuu. Umeme upo kijijini, kwahiyo nitanunua ya umeme. Na kwa ya umeme nichukua ya size/power kiasi gani?