Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Kwa sasa niko mbali kidogo lakini hiyo siyo ishu.

Nikipata mtu wa uhakika naweza kumtumia kupitia MoneyGram halafu yeye akamrushia kwa kupitia local money transfer services.....
Mtu wa uhakika ni Max au AshaDii, kama bado hujafanya hivyo pls do it now, wewe ni Rais wa wazee wa box hii pesa inayotakiwa wazee wa box watano tu member wa JF mnamaliza.

Mimi sijatulia bado niko kwenye wakati mgumu sana nimeshakuwa deputy Father after death of my Father, ila nitamsaidia kupata bima ya NHIF kupitia vikundi.
 
Pole kwa maswahibu hayo broh Mungu akutie nguvu uvuke hapo....

aggyjay atashkuru sana kwa msaada wako wa bima
 
Pole, patafute hapa
 
huyu nliwahi onana nae..kuomba maombi ya binafsi anataka utoe hela ndo uingie room kuonana nae..na dau lake linaanzia laki tatu na nusu.
sitaki kumuona!!!
Pole sana sister, leo ndo naona andiko lako, nami naahidi kutoa kidogo nilichonacho, pia ukimudu kufika Kimara Korogwe kwenye kanisa la KKKT Ushirika wa Kimara korogwe kwaajili ya maombi itapendeza zaidi.
 
Pole sana sister, leo ndo naona andiko lako, nami naahidi kutoa kidogo nilichonacho, pia ukimudu kufika Kimara Korogwe kwenye kanisa la KKKT Ushirika wa Kimara korogwe kwaajili ya maombi itapendeza zaidi.
asante.nimewahi kuja lakini kabla ya haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…