Achinsyene
Member
- Jan 28, 2017
- 24
- 21
Habari ya asubuhi wakuu. Mimi ni mfanyakazi wa serikali. Mwaka 2014 nilichukua mkopo kwenye benki moja kwa mashart ya kukatwa kwenye mshahara wangu kwa muda wa miezi 48 (miaka minne).
Lakini pia mkataba uliruhusu kulipa kwa mkupuo binafsi baada ya kukatwa kwenye mshahara wangu kwa muda usiopungua miez 8.
Nimekatwa kwenye mshahara wangu kwa miezi 34 sasa ila nilipowaomba balance ili nilipe kwa mkupuo mimi mwenyewe, wamekuwa wakinizungusha kwa muda wa miezi miwili sasa, na mara ya mwisho wamenijibu haiwezekani.
Naomba ushauri wenu wajuvi wa sheria nichukue hatua gani?
Lakini pia mkataba uliruhusu kulipa kwa mkupuo binafsi baada ya kukatwa kwenye mshahara wangu kwa muda usiopungua miez 8.
Nimekatwa kwenye mshahara wangu kwa miezi 34 sasa ila nilipowaomba balance ili nilipe kwa mkupuo mimi mwenyewe, wamekuwa wakinizungusha kwa muda wa miezi miwili sasa, na mara ya mwisho wamenijibu haiwezekani.
Naomba ushauri wenu wajuvi wa sheria nichukue hatua gani?