Nahitaji msaada na ushauri wenu

Nahitaji msaada na ushauri wenu

Grim Langdon

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
779
Reaction score
2,294
Habari za jioni,

Nahitaji ushauri kwa jambo lifuatalo, binafsi mimi kuna msichana flani hivi nilisoma naye primary from standard three to seven nilitokea kumpenda sana ila sikumwambia kutokana na ukali wake wa kwenda kutusema kwa mwalimu.

Kwa cku zote hzo nilizosoma nae nilikuwa nikimwota sana ndotoni akiniambia kuwa ananipenda, tulivyo maliza darasa la 7 tukapotezana kwa kuwa wote tuliingia sec tofauti lakini kumuota kulibaki palepale.

Sasa kinachoniwazisha ni kuwa mimi na yeye hatujawai kutana na ni miaka mingi tumepotezana ila mimi bado na muota tu inaweza hata ikapita kama miezi 3 hivi simuoti ukashangaa usiku mmoja huyaapa namuota tena, kingine ni kuwa nikishaamka kutoka ndotoni kumpenda kunarud kama zaman hata kama nilikuwa nilishamsahau.

Ushauri na msaada wenu plz,
Natanguliza shukrani
Jioni njema.
 
Nakushauri zidisha juhudi katika masomo....
 
Hauna mahusiano mazuri na mapenzi moto moto na msichana mwingine ndio maana. Ukipata msichana mmependana sana, hata huyo utamsahau na hata ukimwota haitamaanisha kitu tena. Una umri gani sasa hivi?
 
Kuota msijana umfahamue inaweza kua ni muongozo wa jini anaechukua sura ya "Umfahamuo". Ni vyema kumtaja mungu kwa wengi kabla ujalala. (Fanya maombi na sala) Kabla ujapata usinginzi. Kama ww ni mwislamu. Kuna "Tawasuli unaweza kusoma ndani ya siku3" Utapewa majibu ya uhakika au kuonyeshwa ukweli wa ndoto yako na uo msijana.
 
Zipo zitakazo fungliwa tarehe 10 na nyingine zinafunguliwa tarehe 15 bado kidgo tuu tuendelee kuwa wavumilivu

Cc Ushimen

IMG_2484.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom