Kukoroma ni hali ya kawaida ambayo inaweza kurekebika bila shida na kuisha.
Unaonyesha kukerekwa sana na hiyo tabia, naelewa sababu ni kero iwa watu wengi, hata kwangu.
So nitashare nawe link za videos ambazo zitakuguide katika kusolve hili tatizo na kumsaidia mpenzi wako.
Msisitizo: kila mtu anachangamoto zake katika kuishi pamoja na mwenza. So usichanganyikiwe wala kuhisi upo pekee yako.
Hapa tukiwa tunajadili hivi yupo rafiki yangu ana mwanamke anatoa harufu ile kali ukeni na anazile fungus zisizo poma..... na kila anapojaribu kuzungumza nae juu ya hilo tatizo mwanamke anakuwa mkali badala ya kuonyesha ushirikiano.... Wana mwezi wa tatu sasa hawajafanya chochote.