Nahitaji Mpenzi wa kike, niko Mwanza

Hata kile tu ni sawa, sababu watu wanaiojitambua hawapigiwi mbiu kupata wapenzi. Hii njia unayoitumia itakugharimu sana, bora huko unapoishi kuna majirani, wafanyakazi wenzako au wanafunzi wenzako hao pambana nao..

huku utaishia kuambiwa, TUMA PICHA? HEBU NIUNGE KIFURUSHI tena sio KIFURUSHI ni FURUSHI LA WEEK ...utakua mizinga mpaka uipate hiyo relationship utabadili na ID.
Biashara Mubashara Msimu Huu tena
 
Kumbe hata umri wako hujui? Sio rahisi kupata mchumba labda nae awe hajijui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom