Nahitaji mkopo wa milioni 2.

KAPIRIPIRI

Member
May 24, 2011
31
9
Mimi ni recent graduate, mwandishi wa vitabu vya kiada na ziada. Tayari ninazo titles 2 ambazo zimeingia sokoni tangu mwishoni mwa mwaka jana na zinafanya vizuri sokoni.Tayari nina marketing strategy nzuri. Tatizo nililonalo ni mtaji kidogo na hili linaniathiri kwani kadri unavyoprint vitabu vingi ndivyo printing cost inavyopungua. Nahitaji mtu wa kunishika mkono ili niongezee kwa hiki kidogo nilichonacho.Interest itakuwa nzuri kulingana na makubaliano yetu. N.B. Sijawa na dhamana kama gari au kiwanja ndo maana sijaenda benki. Dhamana nilizo nazo ni kama assets za nyumbani na mengine ambayo nitamweleza muhusika ili awe na uhakika wa security ya pesa yake.Naamini nitasaidiwa, sote ni ndugu.
 
Mimi ni recent graduate, mwandishi wa vitabu vya kiada na ziada. Tayari ninazo titles 2 ambazo zimeingia sokoni tangu mwishoni mwa mwaka jana na zinafanya vizuri sokoni.Tayari nina marketing strategy nzuri. Tatizo nililonalo ni mtaji kidogo na hili linaniathiri kwani kadri unavyoprint vitabu vingi ndivyo printing cost inavyopungua. Nahitaji mtu wa kunishika mkono ili niongezee kwa hiki kidogo nilichonacho.Interest itakuwa nzuri kulingana na makubaliano yetu. N.B. Sijawa na dhamana kama gari au kiwanja ndo maana sijaenda benki. Dhamana nilizo nazo ni kama assets za nyumbani na mengine ambayo nitamweleza muhusika ili awe na uhakika wa security ya pesa yake.Naamini nitasaidiwa, sote ni ndugu.

Mkuu huo uandishi wa vitabu nao biashara pia, na hizo asset za nyumbani (kama fridge, tv n.k) hutumika kama asset pia kwa baadhi ya benki na taasisi za kifedha (mfano, NMB na FINCA). Jaribu kuwatembelea hao, kwan riba za huku site (sait) ni kubwa mno. Kuna post ya Dark City ipo hapo juu (sticky) , inasema "Taarifa za mikopo midogo midogo" au kuna nyingine ya entrepreneur inayozungumzia MYC4. (ukizipitia utajifunza mengi)

Ukiona huko NMB na FINCA hapakufai, basi watembelee TUJIJENGE (wapo pale Millenium Business Park- Shelilango) au (Makumbusho- Kijitonyama) uwape hiyo plan yako. Waambie unataka kuapply mikopo ya MYC4. Wakiona inalipa wataupload information zako kwenye web ya MYC4, tayari kwa bidding.

Kama hayo yote huwezi basi tafuta partner (either angel investor au venture capitalist), muwe wabia jamaa anaweka hela wewe unaweka skills, kwa makubaliano mtakayokubaliana. Baada ya muda mnagawana mali na wote mnakuwa mmefanikiwa (win-win)

Kila la heri Mkuu
 
Nashukuru ndugu Enterpreneur kwaushauriwako, NMB na FINCA nimejaribu wanatakaleseni ya mwakammoja,navifaa vya ndaniwakoselective sana yaaniujekufikisha 150% asset yamkopowakoniissue. Hayo mengine nitajaribu
 
Nashukuru ndugu Enterpreneur kwaushauriwako, NMB na FINCA nimejaribu wanatakaleseni ya mwakammoja,navifaa vya ndaniwakoselective sana yaaniujekufikisha 150% asset yamkopowakoniissue. Hayo mengine nitajaribu

Ina maana publication ya vitabu vya kiada na ziada haihitaji kibali? Hiyo ndiyo liseni yako Mkuu. Hayo mambo ya uzoefu wa mwaka mmoja ni kucheza na makaratasi tu (tena tayari unatitle mbili zimeingia sokoni tangu mwaka jana, na umesema zinafanya vizuri). Issue kubwa hapo ni dhamana, nayo kama ukiwa mjanja ni rahisi sana kwan hakuna tittle deed ya vitu vya ndani unayowapa (just some legal mumbo jumbo).

Cha kufanya ni kugawa hayo mahitaji yako mara mbili, halafu unaomba mkopo sehemu mbili tofauti. Sasa hiyo dhamana kidogo iliyopo inatumika kotekote. If you cant get your hands that dirty, basi ni bora ukafuata ile njia nyingine niliyokuelekeza, kwani utafanikiwa. Kama utahitaji maelezo ya ziada, niPM

Kila la heri mkuu
 
Back
Top Bottom