DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,328
Kumbuka tu NIMESHAKUAMBIA!! Mtu mwenye akili kama yako, Mafanikio utayasikia tu kwa wengine. Na kwa bahati mbaya waAfrika kama ww ni wengi sana. Na ndio maana Africa pamoja na kuwa bara tajiri kuliko yote duniani kwa rasilimali (natural resources), lina watu maskini kuliko wote duniani. Sababu na chanzo ni watu wenye akili kama zako.Hakuna cha kunirudisha nyuma
Acha ramli uchwara..
Hicho kioo unachopigia ramli,jiangalie nacho kisha sema kwa sauti"Mimi ni mshamba"
Jifunze kuheshimu privacy za watu.