Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,689
- 225,326
Hana hela ya kuwakopeshaMkuu tukopeshe ila usitunyanyapae
Hana hela ya kuwakopeshaMkuu tukopeshe ila usitunyanyapae
Hana hela ya kuwakopesha
Ni limbukeni Moja linakuja tambia watu na stori za USA Kwa ID lake lingine.Haya mkuu hata mimi nishaanza kuhisi ni hivyo,,
Punguza ushamba.
Mimi wala si-show off. Na muda wa huo ujinga wa kuwa na ID za kiki sina. Niko hapa kujifunza na kufundisha wengine. Huo ujinga wa showing off niliufanya enzi hizo kama miaka 20 baada ya kushika hela mara ya kwanza. Kwa sasa hata ukikutana na mimi wala hautajua. Niko very simple. Ww ndio una matatizo bro. Nakuhurumia sana.Ni limbukeni Moja linakuja tambia watu na stori za USA Kwa ID lake lingine.
Basi jifunze kutunza privacy za watu.Mimi wala si-show off. Na muda wa huo ujinga wa kuwa na ID za kiki sina. Niko hapa kujifunza na kufundisha wengine. Huo ujinga wa showing off niliufanya enzi hizo kama miaka 20 baada ya kushika hela mara ya kwanza. Kwa sasa hata ukikutana na mimi wala hautajua. Niko very simple. Ww ndio una matatizo bro. Nakuhurumia sana.
Una hasira za kipumbavu. Post za kipumbavu. Na wivu juu yake. Watu kama ww HAUTAFANIKIWA KAMWE. Labda ubadilike.Punguza ushamba.
Kwa riba ya 50 percent njoo tufanye biashara...ila mambo ya malipo ya mbususu hapanaKuna mtu alitangaza hapa JF anatoa mikopo, nimemfuata PM hajibu, mwenye 28 millioni anikopeshe jamani,
The Wolf DocJayGroup Saint Anne DeepPond
Wakuu!
Nashukuru kwa mchango wenu muafaka nilofikia ni kuwarudia microfinances na kuwashawishi tena. Ikishindikana kabisa, nitauza hizi equipments zote za B1 na B2 (Ambazo ni zaidi ya Milioni 5) kisha nitaanza upya. Ila kuuza nyumba HAPANA.
Ahsanteni sana!!
Nilishafanikiwa kwa kiwango changu kadiri Mungu alivyonijaalia na ninazidi kufanikiwa.Una hasira za kipumbavu. Post za kipumbavu. Na wivu juu yake. Watu kama ww HAUTAFANIKIWA KAMWE. Labda ubadilike.
Mkuu tukopeshe ila usitunyanyapae 😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Usingekuwa na hizo tabia nimezitaja, Mungu angekubarikia na ukafanikiwa zaidi.Nilishafanikiwa kwa kiwango changu kadiri Mungu alivyonijaalia.
Yaani nije hapa kuionea wivu ID,?
Acha wehu wewe.
Ananibariki mara nyingiUsingekuwa na hizo tabia nimezitaja, Mungu angekubarikia na ukafanikiwa zaidi.
Unazizuia hizo baraka mwenyewe ndugu. Jiangalie tena kwa kioo. Una matatizo mengi ambayo yanakurudisha nyuma. Baadhi yake nimeshayataja hapo juu.Ananibariki mara nyingi
Huwezi zuia baraka za Mungu.
Punguza ushamba.
Ka harufu kaulimbukeni flani hapa naona..Yeye ndio hakuwa na haja ya kutusumbua. Ngoja niweke picha hapa halafu uniambie kama yuko serious. Binafsi nina nyumba za kutosha Tz. Ila nina brother wangu naye yupo USA ananunua sana nyumba sasa ivi ndio ilikuwa nimforwadie. Kabla ya ku-judge watu hapa JF uwe na info zote.
Hakuna cha kunirudisha nyumaUnazizuia hizo baraka mwenyewe ndugu. Jiangalie tena kwa kioo. Una matatizo mengi ambayo yanakurudisha nyuma. Baadhi yake nimeshayataja hapo juu.
Punguza riba mkuu, kukupa mbususu hapana , Rebeca huyu ni kibibi 😊😊😊Kwa riba ya 50 percent njoo tufanye biashara...ila mambo ya malipo ya mbususu hapana