Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
Wanabodi,
Nilikua nahitaji mtu anikopeshe Tshs 7,000,000/= kisha nitamrudishia Tshs 10,00,000 baada ya miezi minne baada ya siku ya makubaliano. Kuna mahali nimekwama na mambo yameingiliana kidogo.
Mkopo huu utaendana na dhamana ya moja kati magari nliyonayo au hati kiwanja, na mkopeshaji akitaka basi anaweza pia kuusajili huu mkopo kwa mwanasheria wake.
Mwenye kuhitaji kunikopesha basi anaweza akani-PM.
Thanks,
Sting
Nilikua nahitaji mtu anikopeshe Tshs 7,000,000/= kisha nitamrudishia Tshs 10,00,000 baada ya miezi minne baada ya siku ya makubaliano. Kuna mahali nimekwama na mambo yameingiliana kidogo.
Mkopo huu utaendana na dhamana ya moja kati magari nliyonayo au hati kiwanja, na mkopeshaji akitaka basi anaweza pia kuusajili huu mkopo kwa mwanasheria wake.
Mwenye kuhitaji kunikopesha basi anaweza akani-PM.
Thanks,
Sting