Nahitaji Mke

Naitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo kwamba najisifu ila najieleza uhalisia juu yangu.

Natafuta mke wa kuoa, na hii imetokea baada ya Mimi na mchumba wa kwanza kuachana Kwa makubariano kutokana na kuishi mbali mbali Leo hii ni miaka mitatu akiishi Sweden na Mimi nikiishi Tanzania.

Kwahiyo natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na miaka kuanzia 20 Hadi 31.
2. Awe hajazaa na endepo amezaa basi asiwe na zaidi ya mtoto mmoja
3. Awe na Taaluma ya Elimu au Afya.
4. Awe maji ya kunde au mweupe.
5. Awe mkristo
6. Awe anajitambua na mwenye nia na maendeleo.
6. Asiwe mwenye Kila wakati anajenga hoja za matumizi ya pesa badala ya kujenga hoja za kutengeneza maendeleo.
7. Awe anajua thamani ya mwanaume.

Mwanamke mwenye sifa hizo na Yuko serious naomba uni-PM, Kama hauko serious usinichoshe nisikuchoshe kwahiyo tusichoshane pita kushoto, usiingie kwaajili ya kunijaribu Huu Uzi ni Kwa mwanamke ambaye Yuko tayari katika uchumba au kuoana.

Nawasilisha.
Unakuwaje social halafu ukose mchuchu mmoja mkaliiii

Aaaaah bro usiniangushe bhana

btn Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Hapo mwishoni kumekuonesha tabia yako, una mipasho sana huyo mke mwenye taaluma ya elimu au ya afya mtawezana kweli!?

Nakushauri washirikishe wazazi/ndugu au kanisa lako.
Anataka walimu au manesi

Hawa watu naona ni fursa sana kwa wanaume
 
Naitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo kwamba najisifu ila najieleza uhalisia juu yangu.

Natafuta mke wa kuoa, na hii imetokea baada ya Mimi na mchumba wa kwanza kuachana Kwa makubariano kutokana na kuishi mbali mbali Leo hii ni miaka mitatu akiishi Sweden na Mimi nikiishi Tanzania.

Kwahiyo natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na miaka kuanzia 20 Hadi 31.
2. Awe hajazaa na endepo amezaa basi asiwe na zaidi ya mtoto mmoja
3. Awe na Taaluma ya Elimu au Afya.
4. Awe maji ya kunde au mweupe.
5. Awe mkristo
6. Awe anajitambua na mwenye nia na maendeleo.
6. Asiwe mwenye Kila wakati anajenga hoja za matumizi ya pesa badala ya kujenga hoja za kutengeneza maendeleo.
7. Awe anajua thamani ya mwanaume.

Mwanamke mwenye sifa hizo na Yuko serious naomba uni-PM, Kama hauko serious usinichoshe nisikuchoshe kwahiyo tusichoshane pita kushoto, usiingie kwaajili ya kunijaribu Huu Uzi ni Kwa mwanamke ambaye Yuko tayari katika uchumba au kuoana.

Nawasilisha.
Wee Msukuma angalia unataka kuachwa na Basi! Yaani miaka 35 bado unajishauashaua hapa? Wewe mwenyewe huna mtoto? Ningelikuwa nakufahamu tabia yako ningekuita huku SHY uje ujiokotee toto la nguvu ingawa linakosa kigezo cha taaluma ya Afya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom