Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 16,114
- 38,419
😂😂Naomba nikushauri.. Hawa wa 20 mpaka 28 hivi ni pasua kichwa! Watakupasua hasa..LAKINI SIO WOTE
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Naomba nikushauri.. Hawa wa 20 mpaka 28 hivi ni pasua kichwa! Watakupasua hasa..LAKINI SIO WOTE
Sent using Jamii Forums mobile app
Pita kushoto brother siyo Kila unachokiona mtandaoni lazima u-coment.
aiseeh Jf raha sanaaUngekuwa hutaki kikomentiwa ungetuma kwenye group la familia Mbwa wewe
Rafiki matusi ya Nini, Kama vile unaugomvi na Mimi kinachokuuma ni nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapa ni changamoto kwa wahusika.6. Asiwe mwenye Kila wakati anajenga hoja za matumizi ya pesa badala ya kujenga hoja za kutengeneza maendeleo.
Doh, usimpeperushe ndege wangu broNaomba nikushauri.. Hawa wa 20 mpaka 28 hivi ni pasua kichwa! Watakupasua hasa..LAKINI SIO WOTE
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuwaje social halafu ukose mchuchu mmoja mkaliiiiNaitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo kwamba najisifu ila najieleza uhalisia juu yangu.
Natafuta mke wa kuoa, na hii imetokea baada ya Mimi na mchumba wa kwanza kuachana Kwa makubariano kutokana na kuishi mbali mbali Leo hii ni miaka mitatu akiishi Sweden na Mimi nikiishi Tanzania.
Kwahiyo natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na miaka kuanzia 20 Hadi 31.
2. Awe hajazaa na endepo amezaa basi asiwe na zaidi ya mtoto mmoja
3. Awe na Taaluma ya Elimu au Afya.
4. Awe maji ya kunde au mweupe.
5. Awe mkristo
6. Awe anajitambua na mwenye nia na maendeleo.
6. Asiwe mwenye Kila wakati anajenga hoja za matumizi ya pesa badala ya kujenga hoja za kutengeneza maendeleo.
7. Awe anajua thamani ya mwanaume.
Mwanamke mwenye sifa hizo na Yuko serious naomba uni-PM, Kama hauko serious usinichoshe nisikuchoshe kwahiyo tusichoshane pita kushoto, usiingie kwaajili ya kunijaribu Huu Uzi ni Kwa mwanamke ambaye Yuko tayari katika uchumba au kuoana.
Nawasilisha.
Anataka walimu au manesiHapo mwishoni kumekuonesha tabia yako, una mipasho sana huyo mke mwenye taaluma ya elimu au ya afya mtawezana kweli!?
Nakushauri washirikishe wazazi/ndugu au kanisa lako.
Upo very social boss!Pita kushoto brother siyo Kila unachokiona mtandaoni lazima u-coment.
TapeliWewe ni Emason au Alex?
Natafuta Mchumba (mwanamke)
Wee Msukuma angalia unataka kuachwa na Basi! Yaani miaka 35 bado unajishauashaua hapa? Wewe mwenyewe huna mtoto? Ningelikuwa nakufahamu tabia yako ningekuita huku SHY uje ujiokotee toto la nguvu ingawa linakosa kigezo cha taaluma ya Afya.Naitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo kwamba najisifu ila najieleza uhalisia juu yangu.
Natafuta mke wa kuoa, na hii imetokea baada ya Mimi na mchumba wa kwanza kuachana Kwa makubariano kutokana na kuishi mbali mbali Leo hii ni miaka mitatu akiishi Sweden na Mimi nikiishi Tanzania.
Kwahiyo natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe na miaka kuanzia 20 Hadi 31.
2. Awe hajazaa na endepo amezaa basi asiwe na zaidi ya mtoto mmoja
3. Awe na Taaluma ya Elimu au Afya.
4. Awe maji ya kunde au mweupe.
5. Awe mkristo
6. Awe anajitambua na mwenye nia na maendeleo.
6. Asiwe mwenye Kila wakati anajenga hoja za matumizi ya pesa badala ya kujenga hoja za kutengeneza maendeleo.
7. Awe anajua thamani ya mwanaume.
Mwanamke mwenye sifa hizo na Yuko serious naomba uni-PM, Kama hauko serious usinichoshe nisikuchoshe kwahiyo tusichoshane pita kushoto, usiingie kwaajili ya kunijaribu Huu Uzi ni Kwa mwanamke ambaye Yuko tayari katika uchumba au kuoana.
Nawasilisha.
Mbona tupo tunaowahitaji wa hivyooo ilimradi upendoooNa sisi tusio na elimu itakuaje....