Troubleshooter
Senior Member
- Mar 30, 2016
- 130
- 150
Habari kwenye jukwaa hili, natumai mu wazima wa afya. Mimi ni mtu ambaye niko busy na mara nyingi nashinda kwenye Computer kutokana na fani yangu ni IT. Sipati muda mwingi wa kutoka hivyo imekuwa ngumu kupata mwenzi wa maisha. Baada ya kuachana na partner wangu mwanzoni mwa mwaka huu nimekuwa single kwa muda. Nahitaji mke wa kuoa sio kuchezeana, aliye tayari naomba aje inbox ili tuyajenge.
Umri = Miaka 36
Dini = Mkristo
Kazi = IT
Elimu = Degree
Urefu = 5.8"
Uzito = Kg 70
Rangi = Mweupe
Kabila = Mchaga
Ninapoishi = Dar
Vigezo Vyangu:
Nahitaji mwanamke mcha Mungu mwenye malengo ya muda mrefu. Niko tayari kufuata taratibu zote atakazonipa ili kufunga naye ndoa. Nahitaji mwanamke aliye serious pekee.
Ahsanteni.
Umri = Miaka 36
Dini = Mkristo
Kazi = IT
Elimu = Degree
Urefu = 5.8"
Uzito = Kg 70
Rangi = Mweupe
Kabila = Mchaga
Ninapoishi = Dar
Vigezo Vyangu:
Nahitaji mwanamke mcha Mungu mwenye malengo ya muda mrefu. Niko tayari kufuata taratibu zote atakazonipa ili kufunga naye ndoa. Nahitaji mwanamke aliye serious pekee.
Ahsanteni.