Nahitaji mke atakayeendana na wito wangu

Nahitaji mke atakayeendana na wito wangu

Siku hizi watu kuvunja ukimya na kutangaza nia imekuwa jambo jepesi kabisa ndio maendeleo hayo. Pedeshee wa jinsia nyingine anahitajika hapo.
 
kwa jinsi nilivyomuelewa.....hataki wa kumpatia kanisani hapohapo.....anataka wa nje ....ingawa ni mkristo.....yani nje ya kanisani....iwe tu uku mtaani.....

Huyu jamaa unamfaa aisee hebu mfate PM muongee vizuri.
 
hapo kwenye nyekundu hapo...... wenye macho kazi kwao



jf nimekuja hapa Mimi ni musician gospel napiga piano, drums na gitaa bass but kwa sasa nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU, na mwenye uwezo kielimu kidogo coz tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jaman, awe mkristo tu, na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basis hata kama akinizidi awe anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji vigezo +255714255432 Naamini hapa jibu litapatikana Jf MUNGU awabariki

...ila, kanisani kwako hakuna wadada????
 
jamaani kama ningetaka wa kanisani nadhani ungeona nimeandika hapo ila kikubwa cha moyoni mwangu ni kuwa na mke mbali na kanisa but awe mkristo iwe anatoka marekani au haendagi kanisani but awe tu mkristo.

Mkuu Nice,

Unajichanganya au unataka kuchanganya mada!

Utasemaje ( haendagi kanisani) lakini awe mkristo. Yaani , awe mkristo kibandiko, yaani jina tu? Halafu, unasema una wito wa kumtumikia Mungu na unatafuta msaidizi kwa ajili ya kuenenda na huduma uliyo nayo? Kama huduma hii imetoka kwa Mungu. Basi muulize Mungu mwenyewe aliyekupa huduma.
Wapo watumishi wake..na hili sio jumla jumla tu, yupo baba yako wa Kiroho umshirikishe kwa ushauri kwa namna ya kuliendea hili? Au hauna baba wa Kiroho ?
Utakachopata hapa JF ni ushauri wa watu kukurudisha au kuwasiliana na baba yako wa kiroho tu, zaidi ya hapo ni hadithi.
Baba yako wa kiroho anakujua na hata watu unaosali nao, vilevile pata ushauri kwa watu wenye huduma kama yako.

Mwisho wa siku Roho Mtakatifu ndiye mfunuaji wa yote, Yesu Kristo, alisema atakapokuja Mfariji, atakuelezeni yote.

Pata Ushirika na Roho Mtakatifu.

Christina Shusho, aliimba Ninataka Ushirika Nae Ewe Roho.. Sikiliza huo wimbo unapata mafunuo mazuri ya kumpata mwenzi.
Mungu akusaidie sana na ujinyenyekeze kwa Roho. Be Blessed without measure.
 
Dah makanisani haifai na sihitaji wa kanisani mimi
niceone umesema wadada wa kanisani hawafai???

OMG, hebu nifafanulie kidogo ndg yangu hapo sijakuelewa kabisa😕

Pia mi najua kama ww ni mlokole huwa kuna taratibu fulani za ww kukutanishwa na wa ubani wako automatically!
 
Last edited by a moderator:
wandugu mko vyema shukrani nyote ila ajuaye kuuchunguza moyo wa mwanadamu ni MUNGU hivyo haijarishi wa kanisani au sio wa kanisani kikubwa with nilionao kwake atauona ni wa faida au laaaa? thaz only.
 
wandugu mko vyema shukrani nyote ila ajuaye kuuchunguza moyo wa mwanadamu ni MUNGU hivyo haijarishi wa kanisani au sio wa kanisani kikubwa with nilionao kwake atauona ni wa faida au laaaa? thaz only.

Wana Wa Israel Walipigwa Kwa Kuwafata Binti Wa Dunia. Suleman Aligeuzwa Moyo Na Mabinti Wamataifa . Samson Alisema Siri Za Kimungu Kwa Delila (binti Wa Duniani) Hvyo Akapoteza Nafasi Ipo Mifano Mingi Na Maandiko Yanayo2kataza Cc Wapendwa Kuoana Na Binti Za Mataifa Naomba 2 Uwe Msomaji Wa Biblia
 
Mkuu Nice,

Unajichanganya au unataka kuchanganya mada!

Utasemaje ( haendagi kanisani) lakini awe mkristo. Yaani , awe mkristo kibandiko, yaani jina tu? Halafu, unasema una wito wa kumtumikia Mungu na unatafuta msaidizi kwa ajili ya kuenenda na huduma uliyo nayo? Kama huduma hii imetoka kwa Mungu. Basi muulize Mungu mwenyewe aliyekupa huduma.
Wapo watumishi wake..na hili sio jumla jumla tu, yupo baba yako wa Kiroho umshirikishe kwa ushauri kwa namna ya kuliendea hili? Au hauna baba wa Kiroho ?
Utakachopata hapa JF ni ushauri wa watu kukurudisha au kuwasiliana na baba yako wa kiroho tu, zaidi ya hapo ni hadithi.
Baba yako wa kiroho anakujua na hata watu unaosali nao, vilevile pata ushauri kwa watu wenye huduma kama yako.

Mwisho wa siku Roho Mtakatifu ndiye mfunuaji wa yote, Yesu Kristo, alisema atakapokuja Mfariji, atakuelezeni yote.

Pata Ushirika na Roho Mtakatifu.

Christina Shusho, aliimba Ninataka Ushirika Nae Ewe Roho.. Sikiliza huo wimbo unapata mafunuo mazuri ya kumpata mwenzi.
Mungu akusaidie sana na ujinyenyekeze kwa Roho. Be Blessed without measure.


Fuata huu ushauri ndugu....
 
heeee katika watu wanaonshangaza dunia nawe ni mmojawao
inabidi uwekwe kwenye kitabu cha GUINESS maana UMENISHANGAZA SANA

hutaki mke mwema toka kanisani unaaamini hapa je ukipata kachumbari hapa itakuwaje
kwenye huduma yako uliyoisemea hapo juu? aisee
Dah makanisani haifai na sihitaji wa kanisani mimi
 
Bora ya wewe uliyeongea maana tungeongea siye hapa yangeshuka majanga bure
hata mm amenishangaza sana kusema kanisani hakuna wadada ila hapa jf
ngoja tumpe makombora atarudi huko huko kanisani na hapa hataapaona pachungu
niceone umesema wadada wa kanisani hawafai???

Omg, hebu nifafanulie kidogo ndg yangu hapo sijakuelewa kabisa😕

Pia mi najua kama ww ni mlokole huwa kuna taratibu fulani za ww kukutanishwa na wa ubani wako automatically!
 
NAHISI NI MULTIPLE ID :lol::lol:
wandugu mko vyema shukrani nyote ila ajuaye kuuchunguza moyo wa mwanadamu ni MUNGU hivyo haijarishi wa kanisani au sio wa kanisani kikubwa with nilionao kwake atauona ni wa faida au laaaa? thaz only.
 
Bora ya wewe uliyeongea maana tungeongea siye hapa yangeshuka majanga bure
hata mm amenishangaza sana kusema kanisani hakuna wadada ila hapa jf
ngoja tumpe makombora atarudi huko huko kanisani na hapa hataapaona pachungu

Huyu ni mchumia tumbo tu hana cha kutafuta mchumba wala cha nini, this is another Mariooo ndio maana ame-specify anataka mwanamke anaejiweza???
ladyfurahia if u're single chance hiyo hapo, take carw of the guy. I know u're a good fightee😀
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom