Jamii forums.
Nimekuja hapa mimi ni Musician Gospel napiga piano, drums na gitaa but kwa sasa nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU.
Mwenye uwezo kielimu kidogo cause tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jamani.
Aawe mkristo tu, na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basi hata kama akinizidi awe anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji vigezo +255714255432. Naamini hapa jibu litapatikana Jamii forums
MUNGU awabariki.
Nimekuja hapa mimi ni Musician Gospel napiga piano, drums na gitaa but kwa sasa nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU.
Mwenye uwezo kielimu kidogo cause tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jamani.
Aawe mkristo tu, na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basi hata kama akinizidi awe anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji vigezo +255714255432. Naamini hapa jibu litapatikana Jamii forums
MUNGU awabariki.