Nahitaji mke atakayeendana na wito wangu

Nahitaji mke atakayeendana na wito wangu

niceone

Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
49
Reaction score
4
Jamii forums.

Nimekuja hapa mimi ni Musician Gospel napiga piano, drums na gitaa but kwa sasa nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU.

Mwenye uwezo kielimu kidogo cause tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jamani.

Aawe mkristo tu, na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basi hata kama akinizidi awe anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji vigezo +255714255432. Naamini hapa jibu litapatikana Jamii forums

MUNGU awabariki.
 
inawezekana unanifahamu coz mi nafahamika pia kulingana na kazi yangu nakuwa naenda sehemu mbalimbali ndugu.
 
Kejeri sio nzuri mtu anapoamua kutoa jambo lilo moyoni sijambo rahis mtu kuanika yaliyo rohon mwake japo watu wana amini kutafuta mke kwenye mitandao ya kijamii ni uhuni siwezi kubisha hili kwa asilimia mia lakn lazima tu jue kuwa kuna watu wako serious .
 
miss chagga atakufaa kwani ni mchamungu. Kazi ni kwako
 
jf nimekuja hapa Mimi ni
musician gospel napiga piano, drums na gitaa bass but kwa sasa
nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo
linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji
mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU, na mwenye uwezo
kielimu kidogo coz tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye
kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo
kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye
mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jaman, awe mkristo tu,
na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basis hata kama akinizidi awe
anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji
vigezo +255714255432 Naamini hapa jibu litapatikana Jf MUNGU
awabariki

shikamoo mtumishi. mim ningekufaa ila nina hofu na magauni yangu!
 
jf nimekuja hapa Mimi ni musician gospel napiga piano, drums na gitaa bass but kwa sasa nimemaliza project yangu nilyoifanya kama ya John lisu hivyo tatizo linakuja kufanya Huduma ya MUNGU kama hujaoa inasumbua hivyo nahitaji mwanamke anayeweza elewa kile mi nafanya awe mcha MUNGU, na mwenye uwezo kielimu kidogo coz tunaweza tukawa tunatoka nje ya nchi hivyo kwenye kusaini mikataba na wageni inahitajika elimu pia awe na hata kauwezo kidogo ili tutakapo panga project za kufanya kuhusu industry yetu ambaye mbeba maono ni Mimi isiwe ngumu kufanya on time jaman, awe mkristo tu, na umri awe kuanzia umri usiozidi miaka 26 basis hata kama akinizidi awe anajiheshi tutaenda kwa pastor na prose's zitafuatwa jamani, ukihitaji vigezo +255714255432 Naamini hapa jibu litapatikana Jf MUNGU awabariki

Mkuu umefanya project gani coz kwenye gospel mie pia najua sana besides nimesoma music mpaka grade 3 ninajuana na wanamuziki wa gospel almost wote kina mopao barikeys e flat etc we nani kama vipi njoo pm tuchonge
 
Kejeri sio nzuri mtu anapoamua kutoa jambo lilo moyoni sijambo rahis mtu kuanika yaliyo rohon mwake japo watu wana amini kutafuta mke kwenye mitandao ya kijamii ni uhuni siwezi kubisha hili kwa asilimia mia lakn lazima tu jue kuwa kuna watu wako serious .

Hawa Wa Huku Ndo Hao Hao Wa Kanisan Sema Tu Anakua Mtu Wa Sehemu Nyngne
 
Unashangaza...umesema lazima awe mkristo af unasema hutaki wa kanisani. Siku hizi kuna wakristo wanaabudu makaburini?
Hapo sasa....Hahitaji wa kanisani sasa sijui anataka wacha Mungu wa wapi . funguka mkuu mtoa mada
 
Hapo sasa....Hahitaji wa kanisani sasa sijui anataka wacha Mungu wa wapi . funguka mkuu mtoa mada

kwa jinsi nilivyomuelewa.....hataki wa kumpatia kanisani hapohapo.....anataka wa nje ....ingawa ni mkristo.....yani nje ya kanisani....iwe tu uku mtaani.....
 
jamaani kama ningetaka wa kanisani nadhani ungeona nimeandika hapo ila kikubwa cha moyoni mwangu ni kuwa na mke mbali na kanisa but awe mkristo iwe anatoka marekani au haendagi kanisani but awe tu mkristo.
 
I see investor needed in this.....mungu akutangulie kwa katika hili
 
Back
Top Bottom