Nahitaji mfanyakazi wa workshop

Nahitaji mfanyakazi wa workshop

Joined
Dec 27, 2012
Posts
44
Reaction score
1
Habari zenu!!

Matema Workshop iliyopo Kyela mkoani Mbeya inatangaza nafasi moja ya kazi!!

Sifa za muombaji!!
1. Awe amehitimu mafunzo ya ufundi, VETA au chuo kingine chochote!
2. Awe amesomea Mechanics au welding
3. Awe mtu wa kujituma na kuheshimu kazi yake!

NB; Mshahara ni makubaliano, pia atapata allowance ya nyumba.

Mawasiliano
simu: 0752718685
email: mwakyusasteven@gmail.com
 
Hizi kazi nyingine

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
watu hizo fulsa, kama una ndugu mpe taarifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom