Nahitaji mchumba wa kiume

Nahitaji mchumba wa kiume

Dada ukifanikiwa uletee feedback janvini mamy wish u the best ila kuwa makini usije kutana na ma humanizer.
 
Npo mie we sema tu.Jina langu naitwa joseph mbaga.Nina elimu ya chuo mwaka wa tatu sasa hv.Nasomea tax ktk chuo cha usimamiz wa fedha(IFM).Na naishi dar-es-salaam ila nimepanga.Na kwa umri wangu nina miaka 26.Na kwa mawasiliano zaid namba zangu za cm hz 0689 049244 au 0654 115326
Anataka muajiriwa au aliyejiajiri mwanafunzi huna chako.tuachie mtoto
 
Wewe ni mkristo mcha Mungu si ndiyo?? Na baada ya maombi Mungu amekujibu peleka tangazo JF si ndiyo?? Au umeona Mungu kachelewesha majibu?? Hebu nijibu hayo maswali ili nijue kama wewe ni mkristo wa kweli au unataka mwenzio ndiyo awe mcha Mungu ila wewe ni mkristo kanjanja?[/QUOT
Umeongea kweli
 
naam umesikika,mama bila shaka utakuwa ni binti unayejitambua kwa maana hiyo naitwa anold nimuajiriwa ktk taasisi moja kubwa tu africa mashariki, ni muhitimu ngazi shahada kwa mawasiliano nicheki kwenye email hii pjustincol@gmail.com
 
Nina miaka 25,

Muajiriwa.

Elimu yangu ni shahada.

Mkristo mcha mungu.

Niko mbeya.

Nimtakaye awe na umri kuanzia miaka 28 had 35.

Elimu kuanzia form six,

Mwajiriwa au aliyejiajiri,

Mkristo mcha mungu.karibuni pm

Je na wewe ni Mcute?alafu ujaweka sifa zako za mwonekano, ok vijna watachangamka
 
Sisi ambao hatujasoma tutaoa kweli?
 
Nina miaka 25,

Muajiriwa.

Elimu yangu ni shahada.

Mkristo mcha mungu.

Niko mbeya.

Nimtakaye awe na umri kuanzia miaka 28 had 35.

Elimu kuanzia form six,

Mwajiriwa au aliyejiajiri,

Mkristo mcha mungu.karibuni pm

utapata mamy,kila la kheri
 
Utafanikiwa jitaidi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom