Ozan Goren
Member
- Aug 16, 2017
- 44
- 26
Naomba kufahamu mahali ninakoweza kupata mbegu ya Alizeti (Hybrid) kutoka India NSFH 36 na NSFH 145.
Msaada wenu tafadhali
Msaada wenu tafadhali
Halafu hiyo mbegu ya India unajuaje kuwa itastawi Tanzania? Mbegu zote toka nje ya nchi ni lazima zijaribiwe na Vituo vya utafiti hapa nchini kabla watu hawajapewa vibali vya kuziagiza na kuuza hapa nchini. Na majaribio hayafsnywi msimu mmoja tu, ni angalau misimu 3. Ndio ilivyo kwa pembejeo nyingine zinazotoka nje kama vouatilifu na mbolea. Haviji kienyeji tu.
Naomba kufahamu mahali ninakoweza kupata mbegu ya Alizeti (Hybrid) kutoka India NSFH 36 na NSFH 145.
Msaada wenu tafadhali
Sawa mkuuKama kimya embu jaribu Ku gugo kama kuna wakala mahali ukirudi nijulishe
Asante mkuuHalafu hiyo mbegu ya India unajuaje kuwa itastawi Tanzania? Mbegu zote toka nje ya nchi ni lazima zijaribiwe na Vituo vya utafiti hapa nchini kabla watu hawajapewa vibali vya kuziagiza na kuuza hapa nchini. Na majaribio hayafsnywi msimu mmoja tu, ni angalau misimu 3. Ndio ilivyo kwa pembejeo nyingine zinazotoka nje kama vouatilifu na mbolea. Haviji kienyeji tu.
Asante ntafuatiliaKuna mbegu moja ya alizeti IPO moshi wanasema ni ya kienyeji haishambuliwi na wadudu
Uzi muhimu sana huu kwa wakulima ama wanaofikiria kulima alizeti.