Nahitaji matibabu ya kisaikolojia. Nina tatizo kubwa la kufikiria kupita kiasi 'overthinking'

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Habari wanaJf.

"Thinking is good but overthinking can end things before they get chance to develop, it is the biggest cause of unhappness" alisikika mwalimu wangu akijaribu kunishauri.

Kufikiria ovyo ovyo kupita kiasi ni hali inayonikumba, siipendi kwasababu:
Inapelekea kubadili Maamuzi ghafla yaani nabadilikabadilika ndani ya mda mchache.
Sina furaha kabisa hata kama nimekaa bado mamilioni ya mawazo yanatembea kwa kichwa changu.
Nakosa kujiamini kabisa, najihisi mwenye hatia kwa kile nachokifanya kisha najutia mda mchache baadaye.
Kuna muda najikuta kwenye msongo wa mawazo bila sababu
Lakini mbaya zaidi nina marafiki wachache nao wako mbali sana na mimi.

Hivyo 98% ya muda wangu nautumia nikiwa mpweke (Introvert) hali inakuwa mbaya zaidi. kuna muda nawaza hata kufanya maamuzi mabaya. Naamini JF kuna ma therapist na watu wenye uwezo wa kunishauri nini cha kufanya au waliowahi kupatwa na hali kama hii.

Msaada please
 
Pole mkuu, tiba muhimu kabisa kwako ni kugundua tatizo pili kuelewa chanzo na mwisho kuwa tayari kuondokana na hali hiyo, kazi yangu ni kukusindikiza kujua tatizo lako ila suluhisho ni wewe kugundua na kuwa teyari kuondokana na hali hiyo.

Karibu
 
emoji117.png
Inapelekea kubadili Maamuzi ghafla yaani nabadilikabadilika ndani ya mda mchache.
emoji117.png
Sina furaha kabisa hata kama nimekaa bado mamilioni ya mawazo yanatembea kwa kichwa changu
Mkuu hizi ulizoelezea hapa ni outcome ya chanzo cha tatizo lako ,tueleekee kujua chanzo cha hali unaweza kuona ni nini kinasababisha kwanza ujue akili yako inaweza kuathiriwa na vitu vifuatavyo:-
Mazingira =>(wanyama,vitu)vinavyokuzunguka
Vinasaba=>element za kibaolojia zinazorithiwa kutoka katika vizazi.
Thought/=uwezo wa akili yako katika kutatua ,kutafakari ......karibu
 
Dah pole sana. Kwa kuwa umejitafuta na kujua baadhi ya matatizo yako huo ni mwanzo mzuri. Ndio njia ya kufikia tiba.

Amini tu kwamba hakuna binadamu mkamilifu, kukosea kupo na kujifunza pia kupo. Lakini naamini pamoja na kuwa na mawazo mazuri bila kuyakamilisha, iko nguvu ndani yako.. Yahitajika kuwa pushed kidogo.

Lazima utakuwa na passion ya kitu fulani, zama ndani yake and sail to its waves, kwa moyo wote kabisa.. Jiachie fanya mambo yako. Ondoa chuki ndani yako.. Samehe kila kitu ndani yako.. Kuwa mwepesi moyoni na mwenye amani.. Hapa yahitajika pia kujisogeza karibu na muumba wako.

La msingi, anzia hapo ulipo Sasa.. Achana na yaliyopita.. Weka msingi Sasa wa kufikia ndoto zako.. Prioritize your goals by channeling them through your passions.

We only live once, but if you plan it better once is enough.

Kila la kheri.
 
Namkumbuka mzee wangu ni dereva mzoefu aliniambia ili uishi bila msongo wa mawazo weka gia free kwenye kichwa chako maisha yatakuwa rahisi sana.

Pia alisema kuna mambo yako ya kibinafsi unatakiwa uyatatue na kuna Mambo ni Mungu anatakiwa ayatatue, sasa sisi tunajifanya yale ya Mungu tumnataka tuyatatue hatutaweza na tutaishia kuwa na msongo wa maisha.

Fanya yako, Muachie Mungu yake

Imenisadia nafanya na kufikiria yale tu yanayonihusu.
 
Pole mkuu ,tiba muhimu kabisa kwako ni kugundua tatizo pili kuelewa chanzo na mwisho kuwa tayari kuondokana na hali hiyo, kazi yangu ni kukusindikiza kujua tatizo lako ila suluhisho ni wewe kugundua na kuwa teari kuondokana na hali hiyo.

Karibu
Asante mkuu! naomba unisaidie
 
Dah pole sana. Kwa kuwa umejitafuta na kujua baadhi ya matatizo yako huo ni mwanzo mzuri. Ndio njia ya kufikia tiba.

Amini tu kwamba hakuna binadamu mkamilifu, kukosea kupo na kujifunza pia kupo. Lakini naamini pamoja na kuwa na mawazo mazuri bila kuyakamilisha, iko nguvu ndani yako.. Yahitajika kuwa pushed kidogo.

Lazima utakuwa na passion ya kitu fulani, zama ndani yake and sail to its waves, kwa moyo wote kabisa.. Jiachie fanya mambo yako. Ondoa chuki ndani yako.. Samehe kila kitu ndani yako.. Kuwa mwepesi moyoni na mwenye amani.. Hapa yahitajika pia kujisogeza karibu na muumba wako.

La msingi, anzia hapo ulipo Sasa.. Achana na yaliyopita.. Weka msingi Sasa wa kufikia ndoto zako.. Prioritize your goals by channeling them through your passions.

We only live once, but if you plan it better once is enough.

Kila la kheri.
Nashukuru sana!
 
Namkumbuka mzee wangu ni dereva mzoefu aliniambia ili uishi bila msongo wa mawazo weka gia free kwenye kichwa chako maisha yatakuwa rahisi sana.

Pia alisema kuna mambo yako ya kibinafsi unatakiwa uyatatue na kuna Mambo ni Mungu anarakiwa ayatatue sasa sisi tunajifanya yale ya Mungu tumnataka tuyatatue hatutaweza na tutaishia kuwa na msongo wa maisha.

Fanya yako, Muachie Mungu yake

Imenisadia nafanya na kufikiria yale tu yanayonihusu.
Shukran sana
 
Mkuu hizi ulizoelezea hapa ni outcome ya chanzo cha tatizo lako ,tueleekee kujua chanzo cha hali unaweza kuona ni nini kinasababisha kwanza ujue akili yako inaweza kuathiriwa na vitu vifuatavyo:-
Mazingira =>(wanyama,vitu)vinavyokuzunguka
Vinasaba=>element za kibaolojia zinazorithiwa kutoka katika vizazi.
Thought/=uwezo wa akili yako katika kutatua ,kutafakari ......karibu
"Mazingira, inheritance & thought" Naona hizi zina uhusiano na tatizo langu
 
Hivi kufikiria sana ndo kuwaza sana🤔
Habari wanaJf.

"Thinking is good but overthinking can end things before they get chance to develop, it is the biggest cause of unhappness" alisikika mwalimu wangu akijaribu kunishauri.

Kufikiria ovyo ovyo kupita kiasi ni hali inayonikumba, siipendi kwasababu:
Inapelekea kubadili Maamuzi ghafla yaani nabadilikabadilika ndani ya mda mchache.
Sina furaha kabisa hata kama nimekaa bado mamilioni ya mawazo yanatembea kwa kichwa changu.
Nakosa kujiamini kabisa, najihisi mwenye hatia kwa kile nachokifanya kisha najutia mda mchache baadaye.
Kuna muda najikuta kwenye msongo wa mawazo bila sababu
Lakini mbaya zaidi nina marafiki wachache nao wako mbali sana na mimi.

Hivyo 98% ya muda wangu nautumia nikiwa mpweke (Introvert) hali inakuwa mbaya zaidi. kuna muda nawaza hata kufanya maamuzi mabaya. Naamini JF kuna ma therapist na watu wenye uwezo wa kunishauri nini cha kufanya au waliowahi kupatwa na hali kama hii.

Msaada please
 
Herman,

You must be between 25 - 35 years of age, na una IQ nzuri kuliko wengi wanaokuzunguka na uliokua nao tokea utotoni. Ukiwaangalia kazi na mambo wanayofanya unaona hatua kadhaa mbele yao like wanajipotezea time na mipango yao. Na probably kinachosababisha hilo swala la overthinking ni;

1) Mambo hayaendi kama unavyotaka yawe. Japo unajua mbele kuna mwangaza mzuri (Something is Blocked). Kuna kitu unakua unahisi kina funga mambo yako hayaendi na muda unaona unakwenda haraka katika maisha.

2) Unaona watu wanaokuzunguka hawakuelewi, na hawana mipango na maisha yako. Either way, sometimes you dont give a damn kwa wanachofikiria cuz unajua one day mambo yatakaa poa na watarudi kujikomba kwako.

3) Una mipango mizuri sana kichwani, hasa projects, ila huna funds za kuzifanya na kuzisimamisha, wala huna support ya mtu kukuwezesha kutekeleza. Na wewe sio mtu wa kuombaomba misaaada hasa ya hela.

4) kwako "trust" matters kuliko "uwezo" wa mtu kifedha au magari au tangible stuffs (Trustwothy Brave hearts). Ila kwa dunia hii yetu ya leo uwezo wa kifedha ndio una matter, so unajiona kama umetengwa na dunia peke yako.

5) Ni mtu ambae hupendi kujishusha shusha, unaweza ukawa unafanya kazi fulani halafu out of no where ukaamua kuachana nayo. Akili inakua ishawasiliana na wewe kwamba hio kazi mwisho wake its not worth it at all. Unapoteza muda na nguvu.

Akili inataka ufanye kazi au jambo ambalo mwisho wake ni woth it the outcome. Sio jambo dogo dogo au gumu ambalo mwisho wake matunda sio mazuri.

6) Deep inside unajua purpose yako katika haya maisha, kwanini ulizaliwa na unatakiwa kufanya nini katika maisha haya (Destined for greatness), ila kuna vikwazo zingi kuliko uwezo uliopo. Ndio akili ina overthink (Inaona changamoto ni nyingi kuliko dalili kufanikisha mambo) unajikuta unakata tamaa ya maisha.

7) Sometime feelings zinakuja unatamani uoe mtu anaekuelewa machungu yako, thats all, uanzishe familia yako yenyekukuelewa na uangalie mengine yajayo huko katika ndoa.

Impact ndio inakuja kuwa mtu una overthink kupita kiasi kujikwamua kutoka hatua uliopo, ila stress inazidi zaidi na zaidi kwasababu huna pakushika kujikwamua hapo ulipo.

SOLUTION; Kuwa karibu na mungu sana, sali na omba kwa mungu bila kuchoka. Mambo yatakaa sawa na yatafunguka tu. Japokua kuna time itafika unaweza kuhisi kama vile mungu amefunga masikio na hasikii sala na maombi yako, ila usikate tamaa na endelea tu kwa kufanya ibada.

Pili stage kama hio, mtu wa calibre hio huwa anatokea kupiga bingo moja au mambo yanafunguka na hageuki nyuma kimaisha tena.

Sisi tulio kati ya 25 - 35 hatua hii katika maisha huwa tunaipitia. Maturity Stage. Though sio wote ila 90% tunapitia.

Your destined for greatness. Trust me and mark my words.


#Kama kuna kitu nimekosea katika hayo nilioandika be free kunirekebisha.

Hio stage inaitwa Midlife Crisis.
 
Back
Top Bottom