Nahitaji Masada

Nahitaji Masada

Acha kuangalia porn asee...
Kuna mdau humu aliwahi sema ukiangalia sana porn na nyeto ndo unafika hizo level za kuanza kuwaadmire wanaume.
 
Kichwa cha habari, mkuu unahitaji Masada unamaanisha album ya Alpha Blondy au??
 
Huyu sio kama ana ugay ana upweke wa kukosa mapenzi ya baba, ndio yamesababisha kujisikia kuwapenda rafiki wa kiume. Kwa nilivyo muelewa hawapendi kingono anapenda kuwa na ukaribu nao tu kama protector wake. Hizi hisia huwajia sana watu kama huyu walio lelewa na mama na bibi, kiufupi huyu anavutiwa na ule ushupavu wa kiume. Mtoa mada kama sipo sawa naomba unikosowe


Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️

Yap...upo sahihi kabisa labda nilikosa Kiswahili kizuri ni kuelezea sio kwamba nawatamani kingono bali just tu niwe nao katika mzunguko wangu wa kila siku
 
Acha kuangalia porn asee...
Kuna mdau humu aliwahi sema ukiangalia sana porn na nyeto ndo unafika hizo level za kuanza kuwaadmire wanaume.

Yawezekana upo sahihi ila nimeanza muda hata kabla sijaanza kuangalia porn
 
Yap...upo sahihi kabisa labda nilikosa Kiswahili kizuri ni kuelezea sio kwamba nawatamani kingono bali just tu niwe nao katika mzunguko wangu wa kila siku
Ni ushauri tu usiingie mzima mzima na kufata vitendo vya rafiki zako, kumbuka kila mmoja amekulia na tabia tofauti. Kabla hujaiga kwanza fikiria faida zake na hasara zake sio unataka u fit in kwao. Halafu jaribu kuwa na urafiki na watu wazima mfano vikao vya kahawa na michezo(watu wenye busara) hawa wakikuzoea na ukizowea maongezi yao. Ndio huanza kukujenga kuwa shupavu mwenye busara na maono ya maisha ili ukija kuwa na familia yako utaijenga yenye upendo. Ingawa najua watu unao waamini sana ni mama na bibi lakini anza kujitengea mazingira ya kujiamini mwenyewe. Pia usichukuwe mwanamke sababu uwaoneshe rafiki zako kuwa nawe mchepukaji au kidume bali chagua atakae kufaa kuwa nae kwenye maisha yako. Baadae ndie awe mke wako usijaribu kuvaa viatu vya mwezako wakati size zenu tofauti. Kuwa shupavu kwa maisha yako,kuwa shupavu kwa wazee wako na kuwa shupavu kwenye masomo yako.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ni ushauri tu usiingie mzima mzima na kufata vitendo vya rafiki zako, kumbuka kila mmoja amekulia na tabia tofauti. Kabla hujaiga kwanza fikiria faida zake na hasara zake sio unataka u fit in kwao. Halafu jaribu kuwa na urafiki na watu wazima mfano vikao vya kahawa na michezo(watu wenye busara) hawa wakikuzoea na ukizowea maongezi yao. Ndio huanza kukujenga kuwa shupavu mwenye busara na maono ya maisha ili ukija kuwa na familia yako utaijenga yenye upendo. Ingawa najua watu unao waamini sana ni mama na bibi lakini anza kujitengea mazingira ya kujiamini mwenyewe. Pia usichukuwe mwanamke sababu uwaoneshe rafiki zako kuwa nawe mchepukaji au kidume bali chagua atakae kufaa kuwa nae kwenye maisha yako. Baadae ndie awe mke wako usijaribu kuvaa viatu vya mwezako wakati size zenu tofauti. Kuwa shupavu kwa maisha yako,kuwa shupavu kwa wazee wako na kuwa shupavu kwenye masomo yako.


Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️

Asante kwa ushauri huo mzuri....ubarikiwe
 
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida nilizo nazo ni Kama ifuatavyo..
1.Mimi mara nyingi huwa sivutiwi sana na wasichana japo huwa napenda kufanya mapenzi.
2.Kuna msichana fulani nilikuja kumpata baada ya kuona hapa ninapo kaa wote wana mademu ila mimi tu naonekana sina,so ikabidi kama nimtongoze akakubali ila sasa yaan sivutiwi nae na pia nakuwa kama yaani sioni cha umuhimu kwakwe hata nikifanya nae sex baada ya round moja hamu ya kurudia sina tena,na hiyo round moja huchukua dakika chini ya mbili..
3.Yaani toka mdogo napenda sana kuwa na marafiki zangu wa kiume sana,yaani nahic naupendo mkubwa kwao kuliko wakike...sijui kutokana na nilivyo lelewa nimelelewa na bibi na mama tu baba nikiwa simjui labda ndo sababu..
4.Ninakuwa na waadmire sana boys wenzagu...
Naombeni ushauri wenu nifanyeje kusolve hizo changamoto...NOTE: MATUSI SIHITAJI JUST USHAURI TU
Kuhusu malez nakataa pia mm nimelelewa na watu kama hao ila nilianza kudinya toka enzi za kombolea
 
Sijakuelewa
Masada ni album ya mwimbaji Alpha Blondy sasa nilipoona hapo unahitaji masada ndio nilifikiri unahitaji hiyo album.
Kijana acha kutizama ngono, xnxx, xvideos, xhamster, 18ᵗʰ streetlatinas Achana nazo zinakupotosha.
 
Kutovutiwa na mwanamke Sio dhambi.
Kuwa demu chuo siyo lazima.
Una demu kwasababu umeona wenzio Wana mademu, Sio kwasababu unahitaji kuwa nae.
Huo ni utumwa, ishi Maisha yako. Usiishi Maisha ya mwingine.
Huwezi kuwa mwanachama wa Chaputa Kama huna Matamanio kwa njiansia tofauti.
Kwahivi Inaonekana wewe ni Mwanaume sawasawa tu.
Kwahiyo tulia hivohivo mpaka utakapoona yuko anaekuvutia, then chukua maamuzi.
 
Kutovutiwa na mwanamke Sio dhambi.
Kuwa demu chuo siyo lazima.
Una demu kwasababu umeona wenzio Wana mademu, Sio kwasababu unahitaji kuwa nae.
Huo ni utumwa, ishi Maisha yako. Usiishi Maisha ya mwingine.
Huwezi kuwa mwanachama wa Chaputa Kama huna Matamanio kwa njiansia tofauti.
Kwahivi Inaonekana wewe ni Mwanaume sawasawa tu.
Kwahiyo tulia hivohivo mpaka utakapoona yuko anaekuvutia, then chukua maamuzi.

Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom