Naunga mkono hoja, rafiki kilaza anaumiza akili sana.Kama una akili kubwa nitafute sitaki wanhonyaji wa mawazo au rafiki kilaza..
Dah! Yani wewe huna gharama... Wewe ndio unafaa kutolewa outing!
Niliwahi kuwatoa wadada flani outing, wacha waanze kuagiza mavinywaji ya gharama! Zile chupa za elfu hamsini, mwingine ya laki! Nikaenda chooni bwana. Si wakajua nakimbia bili. Kurudi nakuta wameyarudisha na wameagiza Soda. Nikasema hapa sasa tutakwenda sawa!
Bibie Sarah
Jamani za asubuhi. ..Marafiki wamesha tosha. .au bado tuna hitajika
Safi ,ndugu, marafiki hawatoshagi,ukikosa kwenye undugu utakua rafikiJamani za asubuhi. ..Marafiki wamesha tosha. .au bado tuna hitajika
Safi ,ndugu, marafiki hawatoshagi,ukikosa kwenye undugu utakua rafiki
Naunga mkono hoja, rafiki kilaza anaumiza akili sana.
Unapatikana wapiHellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.
PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
PmUnapatikana wapi
Na tutakupataje
We are here
Tutafutane
Niko ready rafiki
Pm iko wazi ?Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.
PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Nikimaliza Pepa nakutafuta
Pm iko wazi ?