Nahitaji mafanikio ya haraka ili kukimbizana na umri wangu

Nahitaji mafanikio ya haraka ili kukimbizana na umri wangu

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
615
Reaction score
792
Nimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.

Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.

Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
 
Jambo la kubeba zigo la shetwani, wataka kumshirikisha nani mwingine?

Hilo ni lako, unastahili kulibeba mwenyewe kama wewe bila ya kushirikisha mtu mwingine awaye yote.

Unasema umechelewa huku ukiwa bado ben10!
Je ulitaka mafanikio ukiwa tumboni mwa mama yako?

Leo nimeamini kamchanganyikeni hii na Id fake, yawezekana kabisa ibilisi mwenyewe kuanzisha thread na watu tukajipinda kuchangia kama hivi!
 
Nimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.

Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.

Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
Ukitaka mafanikio ya haraka labda wakutatue marinda
 
Nimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.

Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.

Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
Ukitaka mafanikio ya haraka labda wakutatue marinda
 
Haki ya nani nimekosea jukwaa nimeingia la WAMIANI Mods plz peleken hii coment Makapuku forum
 
Rahisi sana kupata mafanikio haraka. Piga poliai mmoja halafu mnyqng'anye bunduki. Kisha nenda benki ukapore hela.
 
Pengine tatizo lipo kwenye fikra hebu jaribu kubadilisha fikra yako. Kuna msemo unasema unavyofikiri ndivyo unavyoishi. Licha ya hivyo, ukiwa na haraka na maisha mwendokasi wake utakupeleka pabaya. Usijaribu kwenda kwa Waganga brother wala kudhuru wengine ili upate kutimiza mahitaji yako. Tafuta hela lakini usiumize watu.

Au pengine nenda kajaribu mahala pengine. Nenda hata mkoa mwengine kapambane wakati mwengine kukaa sehemu moja akili inadumaa.
 
Mimi Pia Hayo Mafanikio Niliyatafuta Sana, Tena Sana. Nilienda Mpaka Pemba! Sijafanikiwa Kuyapata!
Ukienda Huko, Na Ukafanikiwa, Mkuu Tafadhali Utupe Mrejesho, Nitahitaji Kwenda Huko Pia.
 
Nenda kakalie vidole vya nyani mkuu but REMEMBER SUCCESSFUL DOES NEVER COME LIKE A GIFT,,,,,,,unafika wanamuua baba yako then wanakwambia kila usiku tutakua tunamleta then unampaka mafuta then unampasua maboga,,,,sijui kama maisha yako yatakua na amani

Acha tamaa tengeneza mikakati y kuingiza pesa BOYA WEWE
 
Huna haja ya kumtoa sijui nani ili ufanikiwe
Njoo nikupeleke tunduma kwenye utajiri wa punje ila maisha yako yatategemea idadi ya punje kuku atakazokula!
Utakuwa na uwezo wa kunywa chai south afrika lunch usa na dina denmark
Chaguo ni lako!
 
Huna haja ya kumtoa sijui nani ili ufanikiwe
Njoo nikupeleke tunduma kwenye utajiri wa punje ila maisha yako yatategemea idadi ya punje kuku atakazokula!
Utakuwa na uwezo wa kunywa chai south afrika lunch usa na dina denmark
Chaguo ni lako!
Denmark[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom