Mr. Masasi
Member
- May 12, 2011
- 53
- 4
Waheshimiwa sana wanasheria! Mimi ni kijana na ni graduate wa udom mwaka jana kozi ni Project planing, management and comunity devl, nahitaji kwenda huko mana nasikia nchi ile imepiga maendeleo sana na fursa za uwekezaji ni nyingi na ni iman yangu kwamba naweza pata kazi kule. Naomba nyie km watalamu wa sheria mnisaidie ni proces zipi naweza pitia ili kufika huko. Na sheria za rwanda zinasemaje kwa sisi wana east africa kwenda kuish kule au kufanya kazi. Lengo langu nataka nifate taratibu zote za kwenda huko. Bongo hakuna mitaji wala ajira na ndo mana nataka kwenda huko . Ahsanteni