Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 635
Hodi wenyeji!
Habari zenu waungwana. Nina wazo la kuwa mjasiria mali ili niachane kabisa na mambo ya kutegemea mshahara wa mwisho wa mwezi. Tatizo ninalokumbana nalo ni ukosefu wa skills juu ya mambo haya. Nahitaji kutumia muda wangu mdogo ninaokuwa free baada ya kazi ktk kujipatia kipato cha ziada.
Ninahitaji ushauri juu ya:
1. Jinsi ya kubuni mradi kulingana na mtaji ( usiozidi 5m.)
2. Vitu vya kuzingati wakati wa kubuni mradi huo.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu waungwana. Nina wazo la kuwa mjasiria mali ili niachane kabisa na mambo ya kutegemea mshahara wa mwisho wa mwezi. Tatizo ninalokumbana nalo ni ukosefu wa skills juu ya mambo haya. Nahitaji kutumia muda wangu mdogo ninaokuwa free baada ya kazi ktk kujipatia kipato cha ziada.
Ninahitaji ushauri juu ya:
1. Jinsi ya kubuni mradi kulingana na mtaji ( usiozidi 5m.)
2. Vitu vya kuzingati wakati wa kubuni mradi huo.
Natanguliza shukrani.