Anthony Paschal
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 513
- 12
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa au kuelekezwa namna ya kutumia laini mbili za mitandao tofauti kwenye simu moja, mfano nipate sms zote za magroup ya laini hizo kwa muda mwafaka, natanguliza shukrani.