pretta360
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 625
- 978
Mim pm yng , haifany kaz ,nikifata watu siwaoni labda unianze ww pmNjoo PM ndugu tuzungumze
Mim pm yng , haifany kaz ,nikifata watu siwaoni labda unianze ww pmNjoo PM ndugu tuzungumze
Nimeshakufata mkuuMim pm yng , haifany kaz ,nikifata watu siwaoni labda unianze ww pm
Kwanza unatakiwa kufahamu ya kwamba; hakuna mtu binafsi, taasisi, au shirika lolote lile mdani ya nchi hii linalotoa mkopo kwa riba nafuu!Habari wa JF
Naomba nisiwachoshe, kama kichwa kinavyojieleza naomba kujuzwa kama kuna Taasisi,mtu binasfi au mashirika yanayotoa mkopo hata kwa riba nafuu nipo tayari
Maisha yangu binafsi
Ni mfanyakazi katika kituo flani cha afya mtu binafsi
Naomba msaada wenu
Du asije kutana na mkopo wa 15000Ingia NMB
*150*66# then mshiko fasta....
Unavuta pesa bila kelele na mtu
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Ingia NMB
*150*66# then mshiko fasta....
Unavuta pesa bila kelele na mtu
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Ukichelewesha, pesa ikiingia kwa akaunti wanakata... Ila pia wanakuadhibu kwa kupunguza mkopoHivi hawa jamaa penalt yao ikoje maana mwezi huu marejesho sidhani
Afadhari maana nimechukua mkopo mkubwa na mwisho trh 20 January na salary najua inaweza kutoka trh 24 kwahiyo nina penalty ya siku nne hapoUkichelewesha, pesa ikiingia kwa akaunti wanakata... Ila pia wanakuadhibu kwa kupunguza mkopo
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Mi nlichukua laki 5, nmechelewa kulipa siku 2, wanasema naweza kukopa laki 4 sasaAfadhari maana nimechukua mkopo mkubwa na mwisho trh 20 January na salary najua inaweza kutoka trh 24 kwahiyo nina penalty ya siku nne hapo
Hakuna gharama za zaidi walizo kuongezea kufidia ucheleweshwaji huo??Mi nlichukua laki 5, nmechelewa kulipa siku 2, wanasema naweza kukopa laki 4 sasa
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Hakuna kabisaHakuna gharama za zaidi walizo kuongezea kufidia ucheleweshwaji huo??
Mwongo, kama una account nmb, check sms zako za hivi karibuni, tumetumiwa sms kuwa hawakopeshi online.Ingia NMB
*150*66# then mshiko fasta....
Unavuta pesa bila kelele na mtu
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo ni online?Mwongo, kama una account nmb, check sms zako za hivi karibuni, tumetumiwa sms kuwa hawakopeshi online.
Hii nimewah kuitumia mara moja tu. Nilikopa elfu 50 nikashangaa riba ni elfu 7 nadhan.Mi nlichukua laki 5, nmechelewa kulipa siku 2, wanasema naweza kukopa laki 4 sasa
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Nimechukua pesa jana tu, uongo wangu upi? Nina zaidi ya miezi saba na sijapata changamotoMwongo, kama una account nmb, check sms zako za hivi karibuni, tumetumiwa sms kuwa hawakopeshi online.
Mimi natumia laini yangu ya Airtel kwenye menu ya *150*66# , hata mda huu naweza lipa na nakopa tena, hii sio kwenye App yao...Mwongo, kama una account nmb, check sms zako za hivi karibuni, tumetumiwa sms kuwa hawakopeshi online.