Kichwa cha habari kinajieleza,
Mtakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na jarida la Sani, ambalo lilisheheni vituko vya kina, Madenge, Pro Ndumilakuwili, Lod Lofa, Pimbi,Ma Born Town na Ma Bush Stars, Betina na Mwenzake Zena, na mengine meengi.
Basi kwa mwenye archives ya magazeti haya, au kujua wapi naweza kuyapata kwa gharama nafuu, tafadhali naomba tuwasiliane.
Nataka nirudie tena kuyasoma, yalikuwa hayachoshi!
Mtakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na jarida la Sani, ambalo lilisheheni vituko vya kina, Madenge, Pro Ndumilakuwili, Lod Lofa, Pimbi,Ma Born Town na Ma Bush Stars, Betina na Mwenzake Zena, na mengine meengi.
Basi kwa mwenye archives ya magazeti haya, au kujua wapi naweza kuyapata kwa gharama nafuu, tafadhali naomba tuwasiliane.
Nataka nirudie tena kuyasoma, yalikuwa hayachoshi!