ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,622
- 2,428
Mimi nahitaji msaada kama inawezekana , Najua kutumia vema kompyuta, mpaka kufanya matengenezo upande wa software pekee, najua kutumia vizuri Microsoft office, kupiga window na kurepair kompyuta kama inashida kwa upande wa software hakuna tatizo lakunishinda yapata miaka mitatu.
Nachoomba ni namna gani naweza pata cheti cha kunitambulisha maana nina taaluma tofauti na hii ila na hii nayo ni sifa inayoweza kunipa kipaumbele nikiwa na cheti.
Maana kuna sehemu nahitaji kuomba kazi nikiwa nimeambatanisha na cheti cha taalum ya IT nipo tayari kwa gharama au kama kuna chuo nawezapata ushauri na msaada wakutunukiwa cheti kwa kupewa mtihani nipo tayari .
Naombeni Ushauri Wenu.
Nachoomba ni namna gani naweza pata cheti cha kunitambulisha maana nina taaluma tofauti na hii ila na hii nayo ni sifa inayoweza kunipa kipaumbele nikiwa na cheti.
Maana kuna sehemu nahitaji kuomba kazi nikiwa nimeambatanisha na cheti cha taalum ya IT nipo tayari kwa gharama au kama kuna chuo nawezapata ushauri na msaada wakutunukiwa cheti kwa kupewa mtihani nipo tayari .
Naombeni Ushauri Wenu.