just-imagine
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 374
- 448
Habari wakuu,
Nahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa 11 mwaka huu, kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na tour company/mountain climbing company ambayo ina gharama nafuu nitashukuru sana. Natanguliza shukrani.
NB: Nipo peke yangu.
Nahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa 11 mwaka huu, kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na tour company/mountain climbing company ambayo ina gharama nafuu nitashukuru sana. Natanguliza shukrani.
NB: Nipo peke yangu.