Boniface Christopher
New Member
- Dec 25, 2022
- 2
- 20
Habari zenu wadau.
Naomba kujua gharama za kupanda mlima Kilimanjaro kwa watanzania.
Kiingilio ni shilingi ngapi? Gharama za tour guider ni shingapi kama ni lazima kuwa nae, na kama kuna vingine ambavyo ni muhimu kujua naombeni msaada.
Asanteni wadau.
Naomba kujua gharama za kupanda mlima Kilimanjaro kwa watanzania.
Kiingilio ni shilingi ngapi? Gharama za tour guider ni shingapi kama ni lazima kuwa nae, na kama kuna vingine ambavyo ni muhimu kujua naombeni msaada.
Asanteni wadau.