Nahitaji kuoa

Nahitaji kuoa

gkubwa

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
70
Reaction score
6
Naitaji kuoa je nioe mke wa aina gani ambaye ni mvumilivu na je kabila gani wanauvumilivu kwenye ndoa umri wangu miaka 25
 
Kuwa kwanza ndiyo uanze kuwaza ndoa wewe kijana!! Kwa aliyekuwa huwa haulizi uliyouliza.......
 
Kuoa unatafuta ushauri hapa jf! kawaulize wazazi wako vijana wa siku hizi hamnazo
 
Ushauri wangu ni kuwa,wewe usifikirie habari ya kuoa kwasasa kwa kuwa hauko tayari.
 
Mkuu unataka kuoa unam Chumba.usijekuwa umekutana nadege limemaliza huduma yote linataka kufia kwa kuwa makini
 
Ungefanya vizuri kama ungeliweka hili bandiko kule MMU!
 
Naitaji kuoa je nioe mke wa aina gani ambaye ni mvumilivu na je kabila gani wanauvumilivu kwenye ndoa umri wangu miaka 25

safi sana kijana unataka kuoa eeh wachaga ndo wako poa alafu ukishajua kabila ndo unatafuta mchumba sio!
 
Nakushauri usioe kwa kuwa bado hujawa tayari.

swala la kuoa ni binafsi, siku kichwa kikubwa au kidogo kikikuthibitisia ki-NAHITAJI KUOA basi oa mmachame, vinginevyo subiri.
 
Wapare wanatahiri hawana visimbusi...USIOE
Wanyamwezi kwa limbwata mmmmh.....USIOE
Wahehe kwa hasira mmmmh....USIOE
Wakinga kwa ushirikina......USIOE
Wahaya kwa kugawa uroda.......USIOE
Wanyakyusa kama maharage ya Mbeya.......USIOE
Wazaramo kwa mdomo.....USIOE
Wazigua kwa zongo.....USIOE
Wamasai kama wapare no king'amuzi......USIOE
OA mchaga lakini asiwe mmachame au mkibosho au mmarangu. njoo Rombo
 
Endelea kwanza kujipanga na maisha, huo umri bado haujajipanga vizuri na akili yako haijakomaa vizuri
 
Mhaya atakufaa sana ni hayo tu
ukikosa chukua mmachame
ukikosa chukua kitu cha singinda moja
ukiona nimekuudhi usingeekuja jf kuomba ushauri na siyo kila mtu ukubali ushauri wangu
Naitaji kuoa je nioe mke wa aina gani ambaye ni mvumilivu na je kabila gani wanauvumilivu kwenye ndoa umri wangu miaka 25
 
Hakuna kitu hapo
Wapare wanatahiri hawana visimbusi...USIOE
Wanyamwezi kwa limbwata mmmmh.....USIOE
Wahehe kwa hasira mmmmh....USIOE
Wakinga kwa ushirikina......USIOE
Wahaya kwa kugawa uroda.......USIOE
Wanyakyusa kama maharage ya Mbeya.......USIOE
Wazaramo kwa mdomo.....USIOE
Wazigua kwa zongo.....USIOE
Wamasai kama wapare no king'amuzi......USIOE
OA mchaga lakini asiwe mmachame au mkibosho au mmarangu. njoo Rombo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom