kapuyanga mkware
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 589
- 144
Dogo oa mmakonde uchangie na vijana wenzio mtaa mzima
Nakushauri usioe kwa kuwa bado hujawa tayari.
Je una Tembomaster Card?
Naitaji kuoa je nioe mke wa aina gani ambaye ni mvumilivu na je kabila gani wanauvumilivu kwenye ndoa umri wangu miaka 25
Dogo oa mmakonde uchangie na vijana wenzio mtaa mzima
Kwani utamfanya nini mbona unahitaji mvumilivu?!