Nahitaji kununua TV ila sijui ipi ni bora zaidi na ni full HD

Mwenye kujua kuhusu ubora wa tv za sony? Zinafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauri kuchukua SONY kwa sasa,hawa jamaa walikuwa vizuri enzi za CRT technology na technology yao ya trinton colours display lkn kwenye hii technologia ya flat TV si wazuri kuna wakati wa LCD,TV zao nyingi sana zilikuwa na matatizo kwenye display haswa kioo kupata fungus na fault za T-con na hata kwenye LED haswa walipoanza kutumia external power supply (adaptors za 19V) shida ikaamia kwenye control board zao. Ila unapaswa kuelewa kuwa wakati umebadilika hatupo kwenye kuangalia issue ya brand,unapofika dukani tazama TV ipi yenye specifications kubwa kulingana na bajeti yako na teknologia mpya,muonekano wa display ya TV (ubora wa picha) u slim wa TV,power consumption, ports. nk ila technologia hii kwenye ubora wa picha imetaliwa na LG,SAMSUNG na kampuni moja hivi ya China hawa ndiyo manufacture wa kubwa wa display za TV,monitor na laptop hivyo ukiona kama Evvoli,TCL,Hisense,Boss inakuvutia wewe nunua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda Kariakoo maeneo ya Msimbazi karibu nyuma ya jingo la Simba pale kuna TV kama zote na bei ni nafuu tu. Ukija mjini tembelea mitaa hiyo na akikisha unapewa warranty ya mwaka. Pia ukiingia uzi wa teknolojia humu JF hayo mambo ya TV yameelezwa vizuri sana na wabobezi na inaweza kukusaidia sana kujua ununue nini kwa teknolojia ilipo kwa sasa.
 
Vitu vizuri ni gharama mkuu. Ila kama unataka mafafa utabata kwa bei poa ila utajutia kukwepa gharama.

Ukitaka 4K andaa kuanzia M1 Kwenda juu. Ila TCL Kidogo bei zao ni rafiki nch 32 mpaka laki 6.5 unakwarua. Nch 40 laki 9.5 mpaka M1.2 unakwarua zote ni SMART TV. TV Hizi ni hatariii sana mkubwa.
Samsung ya LCD ambayo sio smart sijui ndo zinaitwa LED tv mimi sio mtaalam, hivi ile mfano inch 50 naweza kuipata kwa pesa ngapi!!
 
Sikushauri kuchukua SONY kwa sasa,hawa jamaa walikuwa vizuri enzi za CRT technology na technology yao ya trinton colours display lkn kwenye hii technologia ya flat TV si wazuri kuna wakati wa LCD,TV zao nyingi sana zilikuwa na matatizo kwenye display haswa kioo kupata fungus na fault za T-con na hata kwenye LED haswa walipoanza kutumia external power supply (adaptors za 19V) shida ikaamia kwenye control board zao. Ila unapaswa kuelewa kuwa wakati umebadilika hatupo kwenye kuangalia issue ya brand,unapofika dukani tazama TV ipi yenye specifications kubwa kulingana na bajeti yako na teknologia mpya,muonekano wa display ya TV (ubora wa picha) u slim wa TV,power consumption, ports. nk ila technologia hii kwenye ubora wa picha imetaliwa na LG,SAMSUNG na kampuni moja hivi ya China hawa ndiyo manufacture wa kubwa wa display za TV,monitor na laptop hivyo ukiona kama Evvoli,TCL,Hisense,Boss inakuvutia wewe nunua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushauri kwa hisense LED Inc 32
 
Back
Top Bottom