Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Endelea kuonaNaona vijana mnataka kubadilisha lengo la mada......
Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
Endelea kuonaNaona vijana mnataka kubadilisha lengo la mada......
Wewe ndio umeendana na uzi..SAFI Sana. ..Pingu inamilikiwa kama kaqaida..NENDA TANGANYIKA AMY..FUATA TARATIBU UTAUZIWA PINGU...Nenda duka la siraha pale Tanganyika Army pale station karibu na central polisi wanauza 80,000 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewaza nnWakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana?
[HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau!
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko serious njoo PM?Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana?
[HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau!
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana?
[HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau!
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka kuanzisha kampeni ya kuteka watu nini?
Aisee naona unapangia watu cha kupost...Sijamkebehi wala kumuudhi yeye mwenyewe anajuaMtu anapoomba ushauri wa jambo fulani kama huna jibu mwambie kuwa huna jibu au kaa kimya, Ni upuuzi kutoa majibu ya kuudhi au ya kebehi, tuwe wastaarabu japo kidigo.