NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
- Thread starter
- #21
Mie sio askali mkuu, ni raia nazihitaji kwa matumiz ya kawaida tu yasiyo na madhara yoyote!uzifanyie nini? kwani wewe ni askari
Ila mahakama ilisema kukutwa na pingu sio kosa kisheriaIpo clear sana, Haina ambiguity kubwa. Alikamatwa akiwa anamiliki pingu kinyume na sheria. Kama walitumia pingu hizo kumfunga Sijui.
Binduki na bastola ni sensitive processing manufacture..
well said mkuu... ungekuwa unatumia mdudu na bia weekend ningekupa offer aiseeAcha kuanalia porn mkuu.....
Anataka kumkamata mchepuko wa mkeweETI ANATAKA PINGU KWA MATUMIZI YAKE BINAFSI.Sijui anataka kuwa tapeli
nimejitahidi kufuatilia threads zako upo na postive mind mkuu.... be blessed kwa hilo mkuuAcha kuanalia porn mkuu.....
nimejitahidi kufuatilia threads zako upo na postive mind mkuu.... be blessed kwa hilo mkuu
Mkuu wewe ni afsa usalama?
hahaah..... kawaida ya binadamu mkuu sio kwamba kila kitu utakachofanya wata appreciate just be you mkuuAsante mkuu,ila nyingine huwa nakuwaga aireee,wadau hawanisomi kabisaa mkuu.lol
hahaah..... kawaida ya binadamu mkuu sio kwamba kila kitu utakachofanya wata appreciate just be you mkuu
Anazo kweliMcheki jerry Muro.... Aliwahi kudakwa nazo.