Nahitaji Kununua Mpunga

Bora useme wew ndgu unajua watu hawataki kutembea,,,,,,Wao wakizaliwa sehem wanahisi wamemalizaaaaaaa
Watu wamekaa mijini tu hawataki kutembea then wanaongeaaaa! Tena ukiwa tayari kwenda kule niambie nikuelekeze vijiji vya kupata mzigo mwingi namna ya kukusanya unawabebesha ganagana mpk stoo(gunia 500-1000 wanakubebea bila shida.
 
Watu wamekaa mijini tu hawataki kutembea then wanaongeaaaa! Tena ukiwa tayari kwenda kule niambie nikuelekeze vijiji vya kupata mzigo mwingi namna ya kukusanya unawabebesha ganagana mpk stoo(gunia 500-1000 wanakubebea bila shida.
Nitunzie contact kaka,,,,,,inbox
 
Kilosa morogoro kwa sasa mpunga Ni elfu 70 kwa gunia ila mpaka mwezi wa sita au wa Saba utafika kwenye 50
 
Huu ndio muda wa kununua gunia kwa bei rahisi Kama hiyo unayosema sababu wengi ya wakulima wana njaa saa hizi baada ya kutumia hela nyingi kwenye palizi, kuhamisha na kupiga dawa ya panzi (msimu huu maeneo ya morogoro vijijini panzi wamekula sana mpunga).

Haya maelezo ni kwa uzoefu wangu kwenye vitongoji vya morogoro vijijini yaani Wami dakawa, Dutumi na Kisaki.

Changamoto yake ni kwamba utanunua kwa mkopo yaani unampa mtu elfu 30-40 akishavuna anakulipa gunia moja hivyo inabidi uwe na mwenyeji anaye wajua watu. Bila kununua kwa kukopesha ni ngumu kupata gunia kwa bei Hiyo maeneo hayo.

Kwa wale ambao walihifadhi mpunga wao kutoka msimu uliopita gunia ni 100,000-120,000 kwa sasa, otherwise suburi wakati wa kuvuna mwezi wa 6-7 bei huwa 45,000-50,000.
 
Ni hivi; sio kila mpunga unafaa kwa biashara. Kuna mpunga wenye uzito mzuri kwenye mizani na ule wenye uzito mdogo. Kuna wenye punje kubwa na mwingine ndogo, kuna aina ya mpunga bei yake lazima isimame pazuri haijalishi ni msimu gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom