Nahitaji Kununua Mpunga

Nahitaji Kununua Mpunga

Wadau kwa anaye fahamu kwa kipindi hiki maeneo yanayouzwa mpunga Gunia kuanzia 30000/= hadi 40000/= Naomba taarifa nataka nichkue STOCK.
GUNIA LA KILO NGAPI UNATAKA KWA BEI HIYO? KILO 100 KWA LAKI MOJA TUONANE
 
Watu wamekaa mijini tu hawataki kutembea then wanaongeaaaa! Tena ukiwa tayari kwenda kule niambie nikuelekeze vijiji vya kupata mzigo mwingi namna ya kukusanya unawabebesha ganagana mpk stoo(gunia 500-1000 wanakubebea bila shida.
una bei gani sasa hivi hapo nzega mkuu
 
Back
Top Bottom