Nahitaji kumpata mwanaume mwenye uhitaji na serious relation

Nahitaji kumpata mwanaume mwenye uhitaji na serious relation

Daah mapenzi na ndoa za siku hizi very simple and complicated,mnazama PM mnachat, mna negotiate kama dalali anavyonunua gunia la viazi kyle Nsongwi Mantanje uyole mbeya,mnaanza Kutumiana tupicha mara mnaonana live mara hee mnapigana dudu, mnaanza kuchunguzana wee mara mnashindwana Kila mtu anasepa kivyake.
then yule muhitaji anarudi zake PM tena kuangalia the second best option,utaratibu unaanza upya, tupicha,dudu,kuchunguzana and so on mpaka anapatikana mlengwa...Heheheh
 
Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati

Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
nipm
 
Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati

Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Nicheki nikupe detail zangu
 
Katika hizi thread ID mpya zinakuaga nyingi mnoo
 
Katika hizi thread ID mpya zinakuaga nyingi mnoo
heri nawe umeliona hilo,yani siku hizi ukiona tu mtu Kapiga hodi kule jukwaa la wageni, basi baada ya kama siku 5 hivi msubiri huku anatafuta Bwana au mke...sijui imekuwaje?!au wake na waume wa kwenye mitandao ndio waaminifu?au JF ndio kuna wahanga wengi?
totally confused
 
Nami pia natafuta mke. hebu jaribu kuja pm inaweza kuwa bahati! umri ni miaka 36 nipo moro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom