Nishaoa niliembikiri..agano kuu la damu [emoji310]
Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
Bikra ya kiume nielekeze ikoje? Ya kke naijuaNawewe umeoa ukiwa bikra?
Unaweza kuwa mkristo, umeajiriwa serikalini na una rangi nzuri but yet an idiot who cannot be a good mother of children. Kama una tabia njema huhitaji kuja huku maana nyota njema inaonekanaga tu au labda kama ni biashara sema wazi.Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Bikra ya kiume nielekeze ikoje? Ya kke naijua
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hukuwahi kugusa ucchi wa mwanamke?
Bado IPO hiyo nafasi?Mambo, umeshampata mchumba?
Mimi nina 36 na siku 7 vipi nafaa ?Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni