Nahitaji kumpata mwanaume mwenye uhitaji na serious relation

Nahitaji kumpata mwanaume mwenye uhitaji na serious relation

Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati

Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
nimekosa sifa moja tu dini mm ni muslim
 
vigezo vyote ninavyo kasoro kimoja mm sina kazi we nikubalie nilelee tu kama Niva super marioo .
 
Mkriti ndio Nini?

Mkriti ndio neno gani? kama jipya tuliongeze kwenye kamusi zetu

Vipi Vizinga unapiga? Maana nyie ndio Zetu Siku ya Kwanza tu... Simu yangu imaharibika au Imepotea
Kwenye blue hakuna upatanishi wa kisarufi,mosi.
Pili,kwenye nyekundu ni msamiati mpya ama kikwenu mkuu?
Tatu,hilo neno lenye rangi inayopendwa sana na akina dada pamoja na mashoga umelitoa wapi? Maana aliyepaswa kurekebishwa ameandika "mkristi"
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako kisha ulisafishe jicho la mwingine.
 
Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati

Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
[emoji125] [emoji125]
 
Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati

Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni

Sijaona sifa hapo, kajipange uje kivingine.
 
Embu acha umbea mtoto was kiume utajashonwa marinda hayo eboo !
Mkuu umbea wangu ni nini hapo?
Moja kati ya vigezo vya anayetaka mume ni mume kuwa na kipato chake,wewe bado unallishwa na wazazi wako.
Unaambiwa ukweli unaanza kutokwa na mapovu. Anyway UMESHAPAKULIWA au bado?
 
Mkuu umbea wangu ni nini hapo?
Moja kati ya vigezo vya anayetaka mume ni mume kuwa na kipato chake,wewe bado unallishwa na wazazi wako.
Unaambiwa ukweli unaanza kutokwa na mapovu. Anyway UMESHAPAKULIWA au bado?
Tuliza kitobo hicho.... ! Kinakuwasha nini ?
 
Yaan umefikia hadi limit ya kuzuiwa kuona profile yako, kweli wanaume tuna kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom