Hizi sio sifa za kumfanya mtu akuoe. Serious people dont look at characteristics you mentioned. Are you aware of inner beauty? Try to do research on what men want in their wives and start over again.Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristi
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Hizi sio sifa za kumfanya mtu akuoe. Serious people dont look at characteristics you mentioned. Are you aware of inner beauty? Try to do research on what men want in their wives and start over again.
poa nakuja mremboSifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristi
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Naww unasaka?Ya motoo...
ya motoo band
kweli binadam hana jema.angeweka vigezo lukuki kama elim rang act mungesema vigezo vingi maneno yasingeisha.sasa hapa kaweka vigezo vya kawaida kabisa hajabagua yeyote aliye serious anaweza kukidh.ilatu zipo tabia ambazo watakuja kupimana wenyewe kama wataendana tusiwe watu wakuvunja watu moyo hivyoHizi sio sifa za kumfanya mtu akuoe. Serious people dont look at characteristics you mentioned. Are you aware of inner beauty? Try to do research on what men want in their wives and start over again.
Ai weweeeHapana mie sihitaji
Weka kapicha basi vijana wathaminisheqSifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristi
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Nina sifa zote tatzo bado nakula nyumbani... Kwamaana ya kwamba bado nalelewa na wazee.. Sijui nitafaa ?!Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristi
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Mkriti ndio neno gani? kama jipya tuliongeze kwenye kamusi zetuSifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristi
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni