JogooKichaa
Member
- Feb 28, 2014
- 11
- 2
Nahitaji vifaranga 500 vya kuku hawa,kama uko dsm na unavyo ni pm tufanye biashara.
ukijibiwa nami nitakuwa nimepatiwa jibuJogoo kichaaa hao kuku wana sifa gani ambayo ni tofauti na kuku wengine
Hao kuku wana maumbo makubwa ni wazuri kwa biasharaJogoo kichaaa hao kuku wana sifa gani ambayo ni tofauti na kuku wengine
Kumbe upo Dar?Wa wiki sita shilingi ngapi mpaka Dar?
Kumbe upo Dar?
teh teh tehKumbe upo Dar?