Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

Check na hawa jamaa wa Kuku project. Waweza kuwacheki kwenye ukurasa wao wa Facebook.
 
Hao ni wa india,,ni chotara,,niwatamu sana a ni wakubwa kwa unbo na wanahilili hali yahewa ya tz
 
kroiler asili yake ni india ni kuku wanafugwa nusu huria yaani kienyeji na kisasa wanakula vyakula kama wanavyokula wa kienyeji ila kwa kuanzia unaanza na chakula kinaitwa stater baadaye unakuja kuchanganya consetret na pumba
wanataga mayai baada ya miezi tano na wanataga hadi miaka 2
nyama yake ni tamu kuliko hawa wa kiswahili..
kama upo.dar na unahitaji vifaranga bei ni 2500.
0655404226
 
kroiler asili yake ni india ni kuku wanafugwa nusu huria yaani kienyeji na kisasa wanakula vyakula kama wanavyokula wa kienyeji ila kwa kuanzia unaanza na chakula kinaitwa stater baadaye unakuja kuchanganya consetret na pumba
wanataga mayai baada ya miezi tano na wanataga hadi miaka 2
nyama yake ni tamu kuliko hawa wa kiswahili..
kama upo.dar na unahitaji vifaranga bei ni 2500.
0655404226
je wanatamia mayai?
 
hawatamii ila wanapandwa na majogoo so unaweza kutotolesha vifaranga na kuuza au kuwakuza !
jaribu kufuga usiishie kuuliza tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom