mkuu 2,250,000 kama ndoo kubwa ya maji inauzwa shilling 100 ni sawa na ndoo 22,500 ukigawa kwa miezi 6 yani siku 180 sawa na siku kuza ndoo 125 nakiukweli atauza zaidi yapo kwaiyo iyo pesa mill2,250,000 anauwezo mkubwa wakulipa nawala sio ishusimtank la lita 10'000 bei yake ni mil 2'250'000/= hii ni bei ya sokoni nlilouziwa lasta week. Je unaweza kulipa bei hio kwa miezi 10 kweli kwa kuuza maji tu ?