Nahitaji kujua hotel nzuri Dumila

Nahitaji kujua hotel nzuri Dumila

spray

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
277
Reaction score
241
Hi Wadau,

Natarajia kwenda Dumila kikazi, sasa nauliza.. Nisaidieni hotel ambayo naweza kufikia, hotel ambayo ni standard, safe- no vibaka, huduma nzuri kwa wateja na bei zake. Pia kama kuna umbali ni kiasi gani toka stand hadi hiyo hotel.

Wazoefu please nisaidieni.

Asanteni
 
Dumila kuna guest house ndiyo nyingi! Usalama upo tu hapo watu hawalalagi
 
Siyo mji mkubwa kihivyo hapo watu hawalali kwani malori mengi hupumzika hapo na nilichokiona mie ni guest houst za kawaida tu
Kwa hotel kwa maana ya hotel nina mashaka
 
Kuna Guest house nzuri pale unaitwa Full Dose ni umbali kama mita 300 kutoka stend na Sehem ya kupata bia na Toto's panaitwa P square.
Niko Tabora lakini napafaham hapo
 
Hi Wadau,

Natarajia kwenda Dumila kikazi, sasa nauliza.. Nisaidieni hotel ambayo naweza kufikia, hotel ambayo ni standard, safe- no vibaka, huduma nzuri kwa wateja na bei zake. Pia kama kuna umbali ni kiasi gani toka stand hadi hiyo hotel.

Wazoefu please nisaidieni.

Asanteni

Mheshimiwa Magufuri huyu hapa anakuhusu.
 
Siyo mji mkubwa kihivyo hapo watu hawalali kwani malori mengi hupumzika hapo na nilichokiona mie ni guest houst za kawaida tu
Kwa hotel kwa maana ya hotel nina mashaka

Thanks
 
Kuna Guest house nzuri pale unaitwa Full Dose ni umbali kama mita 300 kutoka stend na Sehem ya kupata bia na Toto's panaitwa P square.
Niko Tabora lakini napafaham hapo

hahahaha we noma, huogopi ngoma mwanangu
 
Asanteni wadau nitawapa feedback
 
Dumila guest kibao ila hotel daaah hakuna labda migahawa kibao Sema kuna tabu ya umeme sana mgao hapa ni mkubwa huwa unarud jion na kukatika asubuh ila usalama 100%
 
Back
Top Bottom