spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Hi Wadau,
Natarajia kwenda Dumila kikazi, sasa nauliza.. Nisaidieni hotel ambayo naweza kufikia, hotel ambayo ni standard, safe- no vibaka, huduma nzuri kwa wateja na bei zake. Pia kama kuna umbali ni kiasi gani toka stand hadi hiyo hotel.
Wazoefu please nisaidieni.
Asanteni
Natarajia kwenda Dumila kikazi, sasa nauliza.. Nisaidieni hotel ambayo naweza kufikia, hotel ambayo ni standard, safe- no vibaka, huduma nzuri kwa wateja na bei zake. Pia kama kuna umbali ni kiasi gani toka stand hadi hiyo hotel.
Wazoefu please nisaidieni.
Asanteni