Umeona , jamaa upagani unamsumbuaAlafu we dogo hii tabia ya kuchafua daraja Takatifu kimizaha itakutokea puani. Fanya mizaha na issues zingine lakini si mambo ya Mungu. Ukiendelea na tabia hii ya kuchafua Upadre kihuni matokeo yake ipo siku utakutana na hasira za aliyeweka daraja hilo....
Mti wenye matunda ndo unapigwa vita
Kama huwezi kuwa mnafiki sahau upadriUshahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
Usikatishe tamaa mkuu, kwani hapo nimekosa kigezo ganiKwa kufanya hivyo ulivyofanya tayari umeshashindwa maana yake hauna sifa
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo dar es salaam
wewe hauko serious hata kidogo,okay ukifanikiwa usisahau kutuombea...Ushahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
Ushahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
Kwa hiyo wana dar es salaam wengi hawataki kumtumikia Mungu mkuuMaisha yote ya seminari ni unafiki na kujipendekeza, ukiweza hili umeyaweza maisha ya upadre. Ni wazo zuri kwenda kumtumikia Mungu wako. Nakushauri uende zaidi jimboni kuliko shirikani maana majimbo mengi hayana mapadre wake zaidi ya kusaidiwa na mashirika, hasa jimbo la Dar es salaam hautachelewa kupata kanzu.
Usikatishe tamaa mkuu, kwani hapo nimekosa kigezo gani
Hahahahaaha mara sipo serious mara niwaombee, we sema songa mbele kijana Mungu na malaika wanitangulie kwenye hatua hii muhimuwewe hauko serious hata kidogo,okay ukifanikiwa usisahau kutuombea...
Ndio mkuu, yote sawa ili mradi ujumbe umefikaSema kusomea sio kijiunga
Kwa nn unapingana na wito wangu mkuuHauko serious...itakua huna wito wewe...
basi we huna nua ya upadre bali unataka kuganga njaaUshahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
Salaam,Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo dar es salaam
Sema kabisa nimekosea wapi mkuu, sio kutoa shutuma ambazo zinaelea hewaniNakuambia ukweli kutoka moyoni, haufai. Sio suala la kukukatisha tamaa! Hakuna padre ambaye atakupokea umeshakosea na umefanya kosa kubwa. Believe me!
Katika Maandiko Matakatifu, kuna mtu alipendezwa sana na maisha ya Yesu na kazi zake, akamfuata akamwambia nataka nikufuate! Kwa maajabu sana Yesu alimkatalia. Yesu akaenda mbele akamkuta mtu amejikalia zake tu, akamwambia nifuate!
Wito sio wako wito ni wa kanisaKwa nn unapingana na wito wangu mkuu
Kwenye jumuiya haina shida maana nina network nzuri hukoSalaam,
Umeamua jambo jema ,tena jema sana.yawezekana unahamu ya kuwa Padre kwa sasa lkn bado uko mbali saana na kanisa.
Nakushauri ili uamuzi wako wa wito wa Upadre uweze kuufikia au kutambua kuwa huna wito huo ,sali jumuiya, hudhuria misa takatifu dominika na sherehe zote zilizo amriwa.
Kila kitu kinaanzia kwenye Jumuiya .
Kanisa ndo linaitwa au mtu ndo anaitwa??Wito sio wako wito ni wa kanisa