Nahitaji Kujiunga na upadre

Nahitaji Kujiunga na upadre

Rebuke

Senior Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
167
Reaction score
49
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo.

Kiwango cha elimu yangu nina degree moja na umri nina miaka 24.
Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo Dar es Salaam
 
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Ungeandika eneo ulipo ingekuwa rahisi kupata msaada.
 
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Mkuu kama unataka kuwa Padre, una degree na bado mashirika yao umeshindwa kuyajua basi nakushauri usiende huko, huna wito. Yaani hata padre wako umeshindwa kuongea naye akaku-guide? Hata huko kanisani unaenda kweli?
 
Mkuu kama unataka kuwa Padre, una degree na bado mashirika yao umeshindwa kuyajua basi nakushauri usiende huko, huna wito. Yaani hata padre wako umeshindwa kuongea naye akaku-guide? Hata huko kanisani unaenda kweli?
Ni msaada mkuu, siunajua unakuwa unapitia mambo mengi mpaka unajitambua mkuu??
 
Ni msaada mkuu, siunajua unakuwa unapitia mambo mengi mpaka unajitambua mkuu??
Mie nakushauri kabla hujafikia hatua hiyo ya kuulizia vyuo vya upadre, kwanza fanya uwe regular kwenda kanisani, halafu jenga uhusiano wa karibu na padre wa kanisa lako, fanya kazi ja kujitolea kwenye kanisa lako halafu ndio uanze kuonyesha interest na kumwambia padre wako juu ya interest yako.

Usitafute upadre kama kutafuta ajira nyingine baada ya kumaliza degree.
 
Mie nakushaui kabla hujafikia hatua hiyo ya kuulizia vyuo vya upadre, kwanza fanya uwe regular kwenda kanisani, halafu jenga uhusiano wa karibu na padre wa kanisa lako, fanya kazi ja kujitolea kwenye kanisa lako halafu ndio uanze kuonyesha interest na kumwambia padre wako juu ya interest yako.

Usitafute upadre kama kutafuta ajira nyingine baada ya kumaliza degree.
Ushahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
 
Mie nakushaui kabla hujafikia hatua hiyo ya kuulizia vyuo vya upadre, kwanza fanya uwe regular kwenda kanisani, halafu jenga uhusiano wa karibu na padre wa kanisa lako, fanya kazi ja kujitolea kwenye kanisa lako halafu ndio uanze kuonyesha interest na kumwambia padre wako juu ya interest yako.

Usitafute upadre kama kutafuta ajira nyingine baada ya kumaliza degree.



Duuh

Kazi ya Upadre?Really?

 
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo dar es salaam
Ili kujiunga na shirika lolote lile, sehemu ya kwanza kuanzia ni kwa Padre au Paroko wa Parokia yako. Tafuta muda uende ukaongee naye, ushauri sahihi utaanzia hapo na maswali yote nenda ukaya pose kwake.
Karibu sana!

Malcom Lumumba mkuu I hope utam guide kijana katika dhamira yake.
 
Ili kujiunga na shirika lolote lile, sehemu ya kwanza kuanzia ni kwa Paroko wa Parokia yako. Tafuta muda uende ukaongee naye, ushauri sahihi utaanzia hapo na maswali uote nenda ukya pose kwake.
Karibu sana!

Malcom Lumumba mkuu I hope utam guide kijana katika dhamira yake.
Kwa hiyo lazima nipitie parokiani, basi ngoja nifuatilie parokia yangu mkuu
 
Usiingie kwenye upadre kwa umri huo. Kwanza hautokubalika, ile ni system fulani sio unajiingiza tu katikati lazima uanzie chini.
 
Upadri ni wito wewe hujaitwa unajipeleka! Ndio maana tunakuja kupata maaskofu wabovu wabovu Kwa style hii hii ..
Wanaoitwa wanakuwaje mkuu?? Ebu weka vizuri maelezo.
 
Back
Top Bottom