Nahitaji kujiunga na CCM


utaokota makopo wewe na ukoo wako! Stupid
 
Kwani we umelaaniwa? kujiunga mcc ni zaidi ya kulaaniwa!
 
ccm huna haja ya kuomba kujiunga ukiwa na akili kama zako tayari ni mwana ccm,ulishawahi kuona mtu anaomba kujiunga mirembe?
 
Habari wanaJF,

Mimi ni kijana mkereketwa wa CCM nisiye mwanachama, sasa nataka kuwa mwanachama kamili.

Mipeni process za kupata kadi na kama kuna gharama yoyote inahusika.

Mimi nipo Dar.

Unaonaje ukielekea pale Lumumba ukiwauliza.
 
hamuoni kuwa nyie ndo mlolaaniwa kwa kutoshika dola na kubaki wapinzani milele amina?

siku unaedit hiyo id ulifanya a very big editing error,badala ya kuandika mburula ukaandika mbuyura!
 
NILISHAENDA NA NINA KADI YANGU SAIVI
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:yield::couch2:

Hapo sasa sawa, maana unatujazia thread tu hapa wakati kila kona jiji wakereketwa kama wewe wapo tele.
 
Mkuu bill thread siyo ya babu yako kujaa ndo kazi yake
 
Mijinga mingine kama huyu mbuyula ni hasara sana kwa familia yake na ukoo yake!

Kijana kaamua kuwa mzalendo, safi sana.........achana na NGO's wana urafiki na conservative party ya UK---kwa Cameron,mrengo wao ni ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…