Nahitaji kujifunza udereva wa malori

Nahitaji kujifunza udereva wa malori

Mr Tony

New Member
Joined
Sep 1, 2025
Posts
4
Reaction score
1
Moja kwa moja ni elekee kwenye maada.

Mimi ni kijana ambaye nimekuwa na shauku ya muda mrefu ya kuwa dreva wa maagari makubwa, hivyo Basi ningependa kuwaomba kwa wale madereva ambao wana moyo wa kusaidia wanisaidie kuweza kutimiza ndoto yangu au Kama kuna mtu ambae ana ndugu anae hitaji assistance drive naomba aweze kuniunganisha nae.

Mawasilian 0611178702
 
Huwa hawaruki hatua kama chura, anza kutafuta kibari cha pikipiki, kisha uje magari madogo yaani binafsi, kisha uje daladala halafu magari ya saizi ya kati kama mabasi madogo ndipo uje magari unayotaka yaan yale yaliyoungwa mkia, hapo shart kila hatua uitumikie si chini ya miaka miwili barabarani.
 
Huwa hawaruki hatua kama chura, anza kutafuta kibari cha pikipiki, kisha uje magari madogo yaani binafsi, kisha uje daladala halafu magari ya saizi ya kati kama mabasi madogo ndipo uje magari unayotaka yaan yale yaliyoungwa mkia, hapo shart kila hatua uitumikie si chini ya miaka miwili barabarani.
Bro. Sasa si mtu atazeka hajatimiza ndoto zake
 
Kwa ninavo fahamu ili uwe dereva wa malori ki sheria lazima uanze basic driver license yako inatakiwa ikae miaka mitatu then baada ya hapo utaeenda chuo kusoma ili update class E ambayo itakuwezesha kuwa legally driver wa truck
 
Back
Top Bottom