muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,543
- 3,599
Habari za majukumu jamani.
Napenda kuuliza kuhusu ubora wa MBA itolewayo na chuo cha Archbishop Mihayo University College of Tabora ambayo ni tawi la SAUT.
Mimi nimegraduate bachelor yangu kutoka SUA miaka 10 iliyopita na tangu muda huo nimekuwa nikifanya kazi katika remote areas kiasi kwamba nimeshindwa kujiendeleza kielimu.
Kwa sasa natarajia kuhamia kikazi Tabora mjini hivyo naona pia kuna nafasi ya kujiendeleza. Je, chuo hiki kinatoa elimu bora inayoweza kumjenga mwanafunzi mpaka akawa na uwezo wa kumfanya awe mweledi katika tasnia yake ama hapana? (Bila kujali uwezo binafsi na altitude ya mwanafunzi). Please share experience yako kuhusu hili.
NB: Nilishawahi kusoma OUT MPM semester moja sikuridhishwa na namna nzima ya utoaji wa elimu yao hivyo niliacha.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuuliza kuhusu ubora wa MBA itolewayo na chuo cha Archbishop Mihayo University College of Tabora ambayo ni tawi la SAUT.
Mimi nimegraduate bachelor yangu kutoka SUA miaka 10 iliyopita na tangu muda huo nimekuwa nikifanya kazi katika remote areas kiasi kwamba nimeshindwa kujiendeleza kielimu.
Kwa sasa natarajia kuhamia kikazi Tabora mjini hivyo naona pia kuna nafasi ya kujiendeleza. Je, chuo hiki kinatoa elimu bora inayoweza kumjenga mwanafunzi mpaka akawa na uwezo wa kumfanya awe mweledi katika tasnia yake ama hapana? (Bila kujali uwezo binafsi na altitude ya mwanafunzi). Please share experience yako kuhusu hili.
NB: Nilishawahi kusoma OUT MPM semester moja sikuridhishwa na namna nzima ya utoaji wa elimu yao hivyo niliacha.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app