Nahitaji kubadili dini ili nioe


We bwana naona tunatishana sasa,unataka tusioe
 
we dini ya uislam huijui unawajuwa waislam na hujasoma chochote kuhusu uislam baliuliimbishwatu dini soma sura ya tatu aya 85 kwa kukusaidia huwezi endelea kutuletea utumbowako huo badili ukapewe kitabuchako kwa mkono wa kushoto tenakwa kupigwa mgongo
 
Jambia lipo tayari kumkabili tena huyu kijana ngoja tumtege na tumkamate, maana kufru kubwa hii.
astaghfirullah, unatakiwa utubu maana apo ulipo umeshamkufuru allah. hukumu yako ni kuuliwa
 
nahtaj kuwa nae katika maisha yangu, yeye kubadili dini wazaz wake hawataki kabisa hata kidogo, ila mimi nahtaj kuwa nae katika maisha yangu

Yeye wazazi wake hawataki abadili dini, jee wewe wa kwako wamekubali?

naona umeshaamaua kutanassar, endelea tu mutajuana wewe na Mungu wako maana wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu, na kama ulivyosema umesoma si haba na unajua vizuri consequences zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…